• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

UONGOZI MKOA WA MWANZA WAKARIBISHA WAWEKEZAJI FURSA ZA KIUCHUMI

Posted on: March 2nd, 2024

UONGOZI MKOA WA MWANZA WAKARIBISHA WAWEKEZAJI FURSA ZA KIUCHUMI


Uongozi Mkoa wa Mwanza umeikaribisha kampuni ya Henan Afro-Asia Geo-Engineering Ltd ya China kuwekeza kutokana na fursa lukuki za kiuchumi mkoani humo.

Akizungumza kwa niaba ya Uongozi huo leo Machi 02, 2024 kwenye Hotel ya Malaika na uongozi na kampuni hiyo Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali watu, Daniel Machunda amesema Mkoa huo kuwa eneo la nchi za Maziwa Makuu, uimara wa njia kuu za usafirishaji, Utalii na hali ya hewa ya ustawishaji misitu ni miongoni mwa fursa za uwekezaji.

Machunda akiwa pamoja na wakuu wa idara kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa amebainisha Uhusiano wa kimataifa uliopo baina ya Tanzania na China ulioanza tangu mwaka 1964 kuwa umezidi kupanuka kwa mashirikiano ya kiuchumi na wananchi wake wanadelea kunufaika nao.

"Kwa kutambua Mwanza ni kitovu cha biashara Serikali yetu imezidi kuimarisha njia kuu za uchumi ukiwemo usafiri wa majini, tuna Meli kubwa ya kisasa ya abiria iliyo mbioni kukamilika, Reli ya kisasa (SGR) iliyo pia kwenye hatua za mwisho kukamilika hivyo wawekezaji wanakaribishwa" Machunda.

Ameongeza pia miradi kama Uwanja wa ndege wa Kimataifa ambao Mandarasi anaingia site Mwezi huu kufanyia ujenzi pamoja na Madini ya kutosha huku akisisitiza kuwa wote wenye nia ya kuwekeza wanakaribishwa.

Mkurugenzi wa Kampuni hiyo Huo Chengquan amebainisha ujio wao wa Mwanza ni kupata taarifa zitakazo washawishi kuja kufanya ushirikiano wa kiuchumi kutokana na wigo mpana wa sekta mbalimbali unaofanywa na kampuni yao.

"Nimefurahi kukutana nanyi na watu wanaoongoza sekta mbalimbali naamini tutashirikiana vizuri kuanzia kwenye afya, elimu na kwingineko," Amesema Mkurugenzi Chengquan.

Uongozi wa kampuni ya Henan Afro-Asia Geo-Engineering Ltd umeahidi kurudi Mwanza mwezi Septemba Mwaka huu kwa hatua zaidi za mashirikiano ya kiuchumi hususani kwenye sekta ya Viwanda, Kilimo, Afya, Elimu pamoja na biashara.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.