• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

VIONGOZI NA WANANCHI MWANZA WAUNGANA KUMUOMBEA RAIS SAMIA

Posted on: January 27th, 2026

Wananchi na Viongozi wa Mkoa wa Mwanza wameungana kufanya dua na sala maalum kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kumuombea afya njema, hekima na nguvu ili aendelee kuliongoza Taifa kwa amani na umoja.

Hafla ya dua na sala imefanyika katika Viwanja vya Rock City Mall wilayani Ilemela ikiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda kwa kushirikisha madhehebu ya dini za Kiislamu na Kikristo chini ya uratibu wa Kamati ya Amani ya Mkoa.

Akizungumza katika hafla hiyo Mhe. Mtanda amesema Mkoa wa Mwanza umeamua kumuombea Rais dua na sala maalum kama ishara ya mshikamano na kumuunga mkono katika jukumu zito la kuliongoza Taifa.

Amesema uongozi wa Rais Samia umeendelea kudumisha amani, utulivu na mshikamano wa kitaifa hususani katika nyakati za changamoto hatua ambayo imeongeza imani na matumaini kwa wananchi.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Mhe. Amina Kakilagi amesema wananchi wa Mwanza wataendelea kumuunga mkono Rais kwa kufanya kazi kwa bidii, kushirikiana na Serikali katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo na kulinda amani iliyopo.

Katika kuadhimisha tukio hilo, wananchi pia walishiriki zoezi la upandaji miti zaidi ya 16,000 kama sehemu ya jitihada za kuhifadhi mazingira. Hafla hiyo pia ilihusisha kula chakula cha pamoja kati ya Mkuu wa Mkoa na watoto zaidi ya 200 wanaolelewa katika makao maalum kutoka vituo vya hisani vikiwemo Fone Risto, FKT Foundation na Watoto wa Afrika.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MTANDA: BENKI ZISIJENGE MAFANIKIO BILA KUWAJALI WAFANYAKAZI

    January 29, 2026
  • HALMASHAURI ZAJENGEWA UWEZO UTEKELEZAJI WA DAFTARI LA MAKAZI NA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 28, 2026
  • TRA MWANZA YATOA MAFUNZO YA MFUMO JUMUISHI WA KODI ZA NDANI KWA WAFANYABIASHARA

    January 28, 2026
  • RAS BALANDYA APOKEA UGENI WA WIZARA YA ULINZI NA JKT MWANZA

    January 28, 2026
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.