• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Wanaohujumu ujenzi wa Daraja la JP Magufuli wapewa onyo na Serikali

Posted on: December 2nd, 2022


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Adam Malima ametoa rai kwa wananchi wanaozunguka Mradi wa Ujenzi wa daraja la JP Magufuli (Kigongo-Busisi) linalotekelezwa kwa Shilingi Bilioni 700 kuacha tabia ya wizi na udokozi wa vifaa kwenye mradi huo ili likamilike kwa wakati na kuwahudumia wananchi.

Amesema hayo leo Disemba 02, 2022 Ofisini kwake wakati alipotembelewa na Uongozi wa kampuni ya Mkandarasi anayetekeleza ujenzi wa Daraja China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC) hilo lenye urefu wa KM 3.2 na kuzungumza na Waandishi wa Habari.

Aidha, Mhe. Malima amebainisha kuwa   kutakua na ucheleweshaji wa kukamilika kwa daraja hilo kwa miezi 8 hadi Novemba 2024 badala ya februari 2024 iliyopo kwenye Mkataba kutokana na Vifaa vya ujenzi wa mradi huo kupatikana kutoka nje ya nchi ambako pia wamekubwa na janga la Ugonjwa wa Uviko 19.

"Tukipata ucheleweshaji kutokana na Ugonjwa wa Covid 19 inawezekana lakini sio kwa udokozi huo ambao ni sawa na uhujumu uchumi, watafute biashara ingine ya nondo na vyuma lakini sio kwenye Miradi ya kitaifa maana tutawatolea mfano waone kisirani chetu maana hatuko tayari kurudishwa nyuma na watu hao." Mhe. Malima.

Ameongeza kuwa katika utekelezaji wa Ujenzi wa mradi huo Serikali ya Mkoa imejidhatiti kuweka hali ya Usalama ili kuhakikisha Mkandarasi anafanya kazi usiku na mchana ili kufanikisha ukamilishaji kwa amani, na kwamba kuanzia anayeiba, aliyepakia kwenye gari, atakayenunua na atakayejengea vyuma hivyo wote watakua hatiani.

"Hapa katikati palitokea sintofahamu ya udokozi wa vifaa pale kwenye mradi kama vyuma, nondo na vitu vingine nasi kama kamati ya usalama ya Mkoa tumejidhatiti kuhakikisha haliendelei suala hilo." Amesisitiza Malima.

Vilevile, ametoa rai kwa wananchi kuacha usumbufu kwa mafundi wanaojenga daraja hilo kwa kuwaingilia kwa kutumia daraja la Ujenzi ambalo sio lengo lake bali watakaokuwa na dharula nje ya Magari ya wagonjwa na Usalama watapaswa kupata kibali maalum kutoka kwa katibu Tawala Mkoa.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.