Swahili
  • English
  • Swahili
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Maafisa Elimu Kata wapata vitendeakazi Mwanza

Posted on: September 10th, 2018


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella amekabidhi pikipiki 18 zenye thamani ya takribani Tshs.54,000,000/= zilizotolewa na Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa ajili ya Maafisa Elimu Kata 18 waliomo ndani ya Halmashauri ya Jiji la Mwanza.

Akitoa hotuba wakati  wa kukabidhi pikipiki  hizo kwa niaba ya mkurugenzi wa Jiji la Mwanza Kiomoni K. Kibamba,   Kaimu Mkurugenzi   Philipo Kajura  Mukama amesema, ili  kuimarisha usimamizi na matumizi sahihi  ya pikipiki hizi Maafisa  Elimu Kata wanapaswa kuzingatia taratibu walizopewa.

"Mtumiaji wa pikipiki awe na leseni inayomruhusu kutumia chombo  cha moto,itumike ndani ya Kata husika tu na itumiwe na Afisa Elimu Kata na si mtu mwingine,itumike muda na siku za kazi pia zisitumike kubeba mizigo  na abiria,"alisema Mukama.

Naye Mstahiki Meya wa Jiji la  Mwanza Mhe. James Bwire amesisiza kwa wadau wote wa Jijini hapa kuhakikisha wanaiunga mkono Serikali katika juhudi za Maendeleo kwani inafanya kazi kubwa kuhakikisha Elimu inakwenda mbele.

"Vifaa hivi vimetolewa kwa madhumuni maalumu ya kuhakikisha Elimu inasonga mbele hivyo pikipiki hizi  zitumike kwa madhumuni hayo na si vinginevyo, itawaghalimu mkitumia kwa matumizi binafsi,"alisema Bwire.

Hata hivyo,Mhe.Mongella amesisitiza kuwa Serikali ya awamu ya tano imejikita kuimarisha Sekta ya Elimu hivyo kila mwalimu ana wajibu wa msingi wa kuiwezesha Sekta hii izidi kusonga mbele kwa kila mwalimu kutimiza wajibu wake.

"Halmashauri zote 8 za Mkoa zimepata pikipiki hizi za Maafisa Elimu Kata,walimu Mwanza mnafanya kazi nzuri,changamoto zipo kikubwa tuendelee kuahirikiana na Serikali na mifumo yake yote ili kutatua changamoto hizi,"alisema Mongella.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MTANDA AKOSHWA NA BONANZA LA USHIRIKA NA MABENKI

    May 14, 2025
  • RAS MWANZA ATAKA UHAMASISHAJI CHAKULA CHENYE LISHE KUONGEZEKA SHULENI

    May 13, 2025
  • RC MTANDA AIPONGEZA BONDE LA ZIWA VICTORIA KWA KUELIMISHA UMMA

    May 13, 2025
  • RC MTANDA ASISITIZA UIMARISHWAJI WA UMOJA NA MSHIKAMANO

    May 12, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.