• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

SERIKALI IMETENGA SHS BILIONI 972 KUJENGA KAMPASI ZA VYUO VIKUU NCHI NZIMA- WAZIRI MKENDA

Posted on: December 13th, 2024

SERIKALI IMETENGA SHS BILIONI 972 KUJENGA KAMPASI ZA VYUO VIKUU NCHI NZIMA- WAZIRI MKENDA


Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omari Kipanga amesema Serikali imetenga jumla ya shs bilioni 972 kwa ajili ya kujenga Kampasi ya vyuo vikuu mikoani kote lengo likiwa kuwasogezea karibu wananchi huduma ya elimu ya juu na kuharakisha kasi ya maendeleo nchini.

Akizungumza mapema leo Disemba 13, 2024 kwa niaba ya Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia katika mahafali ya 18 duru ya pili kwa wahitimu wa Taasisi ya Teknolojia Dar e-s-Salaam Kampasi ya Mwanza iliyofanyika kwenye ukumbi wa Rock City Mall wilayani Ilemela, Naibu Waziri Mhe. Omari Kipanga amebainisha tayari Mwanza Kampasi ya chuo cha ardhi kipo mbioni kujengwa huko wilayani Sengerema.


Amesema mpango huo ni maelekezo ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na wao kama wizara wana wajibu wa kusimamia na kuhakikisha vyuo hivyo vinakamilika kwa ubora na wakati.

"Hizi fedha zitakwenda kuboresha maeneo mengi ikiwemo mfumo wa Tehema, wahadhiri wa vyuo vya Serikali na binafsi watapata nafasi ya kusomeshwa na maeneo mengine mengi muhimu, "Naibu Waziri

Aidha ameipongeza Taasisi ya Teknolojia Dar-s-Salaam DIT Kampasi ya Mwanza kwa kuendelea kuzalisha wataalamu ambao wameleta maendeleo chanya katika sekta ya viwanda na Serikali imewekeza kwenye Taasisi hiyo ili izidi kuwa mahiri katika utafiti na kuwa na wataalam bora wa ngozi.

Akitoa salamu za Mkoa wa Mwanza kwa niaba ya Mkuu wa mkoa,mkuu wa Wilaya ya Ukerewe comrade Christopher Ngubiagai amebainisha kutokana na mkoa huo kuwa eneo la kimkakati uwekezaji wa Elimu ya juu ni lazima upewe kipaumbele.

"Nichukue fursa hii niwapongeze wahitimu wetu,nawasihi sana muwe mabalozi wazuri wa mageuzi ya kiuchumi hasa katika eneo la viwanda ili mliletee Taifa maendeleo",Ngubiagai.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.