• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Tathmini ya mapitio ya Sera ya Maendeleo ya Wanawake na Jinsia Yafanyika Mwanza

Posted on: November 11th, 2019


Wadau wa Maendeleo wamekutana Mwanza katika kikao kazi cha kukusanya maoni,Taarifa na  Takwimu katika zoezi la Tathmini ya Sera ya Maendeleo ya Wanawake na Jinsia (2000) na Mkakati wa Utekelezaji (2005) ili kuendana na wakati kwa ajili ya kutoa ufumbuzi wa changamoto za sasa.

Akiongea katika kikao kazi hicho Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Idara kuu  Grace Mwangwa amesema zoezi litahusisha kukutana na wadau mbalimbali katika ngazi zote hii itasaidia kuwa na sera shirikishi inayozingatia masuala yote muhimu.

"Tumefikia kipindi tumeona kwamba tunahitaji kufanya tathmini,sera hii tumeitumia takribani kwa kipindi cha miaka 19 na ni mambo mengi yamebadirika ukiangalia sasa hivi tunaongelea maswala ya uchumi wa viwanda,uchumi wa kati,kwa hiyo tumeona ni wakati muafaka kuofanyia tathmini tupate maoni kutoka kwa wadau mbalimbali jinsi ilivyokuwa inatekelezwa, takwimu za utekelezaji na maoni ni nini kifanyike ili tuje na sera ambayo itatufikisha katika uchumi wa kati tunapoenda katika maswala ya viwanda," alisema Mwangwa.

Kwa upande wake Profesa Linah Mhando ambaye ni Mtaalam elekezi amesema ni muda sasa kuna uhitaji wa kuhuisha sera hii kwa sababu imepitwa na wakati tuliopo sasa.

"Chimbuko la sera hii ni Tamko la Beiging ambapo  Nchi yetu ilijikita katika mambo matano kwa wakati ule ambayo ni kuangaliajinsi gani tunaweza kuwa na  sera ambayo itaangalia changamoto wanazozipata wakina mama kwa  wakati huo wa mwaka 2000 ndo maana tumeona kuwa hata jina lenyewe la sera  limepitwa na wakati," alisema Profesa Mhando.

Awali akifungua kikao hicho kwa niaba ya Katibu Tawala wa Mkoa, Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji Emil Kasagara amesema kikao hicho kina malengo ya kufanya tathmini ya utekelezaji wa maswala ya Usawa wa Jinsia na Uwekezaji  Wanawake katika kufikia maendeleo jumuishi hususan katika Sekta ya Afya,Elimu, Kilimo na Maswala  ya Kifedha.

"Kukusanya Taarifa na Takwimu zitakazowezesha kuandaa Rasimu ya Sera  ya Maendeleo ya Jinsia kwa kujibu mahitaji ya sasa na kutatua changamoto zilizopo,"alisema Kasagara.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.