• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

WAKUU WA VITENGO MIKOA WATAKIWA KUTEKELEZA MIRADI KIZALENDO ILI KUCHOCHEA MAENDELEO

Posted on: December 12th, 2025

Naibu Katibu Mkuu OW- TAMISEMI Bw. Sospeter Mtwale ametoa rai kwa wakuu wa Vitengo katika Ofisi za wakuu wa mikoa kusimamia kwa dhati miradi ya serikali ili ikamilike kwa wakati na kwa kuzingatia viwango kulingana na thamani halisi ya fedha zilizowekwa.

Bwana Mtwale ametoa wito huo mapema leo jijini Dodoma alipokua akifungua mafunzo ya Uongozi kwa Wakuu wa Viyengo vya Huduma ya Sheria, TEHAMA, Ufuatiliaji na Tathmini pamoja na Mawasiliano Serikalini kutoka katika mikoa ya Tanzania bara.

Aidha, amewataka kusimamia kwa dhati utatuzi wa migogoro kwa kuwasikiliza wananchi na kuwaondolea kero zao kwa wakati ili wasitumie muda mwingi kwenye mashauri badala yake wajikite kwenye kujitafutia kipato kupitia shughuli za kiuchumi.

Ameongeza kuwa kiongozi mzuri ni yule anayeweza kujenga timu ya pamoja na kusimamia utendaji kazi wa watumishi walio chini yake, hivyo anayo imani ya watendaji hao kubadirika endapo mtabaini kuwa kuna sehemu walikua wanakosea.


Naye, Mkurugenzi Msaidizi Tawala za Mikoa OWM-TAMISEMI Ibrahim Minja amesema Mafunzo hayo yameandaliwa ili kuwajengea uwezo viongozi hao katika vitengo wanavyovisimamia pamoja na kuwakumbusha wajibu wao katika kuzishauri halmashauri pamoja na kumsaidia Katibu Tawala wa Mkoa.

“Taasisi ya Uongozi inawajenga viongozi katika kusimamia taaisi kimifumo, kanuni, fedha pamoja na kusimamia watu na kumjenga kiongozi aonekane ndiye bila mashaka”, amesema Bw. Kadari Singo, Afisa Mtendaji Mkuu Taasisi ya Uongozi.

Kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza mafunzo hayo ya siku nne yamehudhuriwa na wataalamu kutoka kwenye vitengo vinne vya Mawasiliano Serikalini, Ufuatiliaji na Tathmini, TEHAMA huku wakiongozwa na Mkuu wa Kitengo cha huduma za Sheria Bi. Nuru Mwambuli.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MTANDA AFANYA KIKAO NA NAIBU WAZIRI TAMISEMI (AFYA)

    December 16, 2025
  • WAHITIMU WA SAYANSI NA TEKNOLOJIA WANATEGEMEWA SANA NA SERIKALI- MHE. WANU

    December 15, 2025
  • WAKUU WA VITENGO MIKOA WATAKIWA KUTEKELEZA MIRADI KIZALENDO ILI KUCHOCHEA MAENDELEO

    December 12, 2025
  • WAZIRI ULEGA AWASILI MWANZA KUTEKELEZA AGIZO LA PM UKAGUZI MADARAJA

    December 11, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.