• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Watumishi Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mwanza wapatiwa mafunzo ya mfumo wa uhamisho

Posted on: November 18th, 2023

Watumishi Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mwanza wapatiwa mafunzo ya mfumo wa uhamisho


Watumishi kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza mwishoni mwa wiki hii wamepatiwa mafunzo ya mfumo wa uhamisho unaojulikana kama ESS yaani(Employment Self Service) utaratibu unaotumika sasa kuomba uhamisho kupitia mfumo huo.

Akitoa mafunzo hayo kwenye ukumbi wa Ofisi ya mkuu wa mkoa,Afisa TEHAMA Mkoa wa Mwanza Joseph Chali amesema watumishi wote ni lazima wajisajili kwenye mfumo huo kwasababu kwa njia moja ama nyingine anaweza kufikiria kuhama siku moja,hata Mkuu wa Taasisi.

"Katika mfumo huu kuna vipengere mbalimbali ambapo hivyo vyote lazima uwe navyo ili kukamilisha uhamisho wako ambavyo ni CV iliyohuishwa Taasisi unayotaka kuhamia na kuonyesha sababu ya kutaka kuhama",amefafanua Chali wakati akizungumza na watumishi hao.

Wakati huohuo Kampuni ya mawasiliano ya HALOTEL tawi la Mwanza imetoa mafunzo kwa watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa mkoa ya bidhaa yake mpya ijulikanayo kama M2M ambayo ni laini maalum kwa watumiaji wakubwa wenye matumizi ya internet.

Afisa Habari wa Kampuni hiyo, Hassan Ally amebainisha mbali ya bidhaa hiyo yenye lengo la kumrahisishia mawasiliano ya kidunia mteja wake,Kampuni ya HALOTEL ina miundombinu ya kisasa ya mawasiliano ya simu yenye idadi kubwa ya minara ipatayo 3000 iliyounganishwa na mkongo wa KM 20,000 kuzunguka nchi nzima.

Ameongeza kuwa Kampuni hiyo ina lengo la  kuwa mtoaji wa gharama ya chini zaidi ya huduma na bidhaa zake na kutoa kipaumbele kwa asilimia 95 kwa watu waishio vijijini.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.