• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Saa nane National Park

 Hifadhi ya Taifa ya Saanane 

Hii ndio hifadhi iliyo ndogo kuliko zote nchini Tanzania na Afrika ya mashariki.Jina la hifadhi ya Taifa ya kisiwa cha saa Nane kinachopatikana katika ziwa Victoria katika mkoa wa Mwanza kimetokana na mtanzania aliyekuwa mvuvi na mmiliki wa kisiwa hiki aliyejulikana kama Mzee saa Nane Chawandi ambaye aliachia eneo hili la kisiwa kwa serikali ya Tanzania baada  ya yeye mzee saa Nane Chawandi kufidiwa gharama za eneo lake na serikali katika miaka ya 1960.
Mara moja serikali ya Tanzania ikalianzisha eneo hili la kisiwa kama bustani ya Wanyamapori ya kwanza kabisa nchini Tanzania katika mwaka wa 1964.Malengo ya serikali ya wakati wa kipindi kile ilikuwa ni kuendeleza uhifadhi endelevu wa eneo lenyewe pamoja na kuhamasisha na kuelimisha elimu ya utalii na mazingira kwa watanzania wenyewe na wageni kutoka nje ya nchi lakini vilevile ilikuwa na kutoa burudani kwa wakazi wa mji na mkoa wa mwanza na sehemu nyinginezo za mbali.

HISTORIA YAKE
Kati ya mwaka 1964 mpaka 1966 shirika la hifadhi za Taifa nchini Tanzania liliwasafirisha na kuwaleta wanyamapori wa aina mbalimbali katika kisiwa hiki cha saa nane kutoka katika maeneo mbalimbali ya uhifadhi nchini Tanzania.Wanyamapori hawa ilikuwa pamoja na nyati(mbogo),pongo,digidigi au saruya,Tembo(ndovu),pofu, swala pala,Faru,nyamera,ngiri pamoja na nyumbu.Wanyamapori wengineo ni pamoja na pundamilia,nyani,twiga,nungunungu pamoja na mamba.Ikumbukwe na ieleweke ya kwamba hii ndio hifadhi ya pili inayopatikana katika ziwa Victoria katika mkoa wa mwanza baada ya hifadhi ya Taifa ya visiwa vya Rubondo ambavyo navyo pia vinapatikana katika mkoa wa Mwanza.

MAANDALIZI YA USAFIRI:
Mipango na utaratibu wa safari ya matembezi ya kutembelea kisiwa cha saa Nane kwa njia ya usafiri wa majini wa boti zenye injini huandaliwa kwa kutoa taarifa katika makao makuu ya hifadhi ya Taifa ya kisiwa cha saa Nane yanayopatikana capri point katika wilaya ya nyamagana.

KUANZISHWA KWAKE:
Hifadhi hii ya Taifa ya kisiwa cha saa Nane imeanzishwa mwaka 2012 baada ya kupitishwa na kudhibitishwa na sheria za bunge la Tanzania katika mwezi oktoba,2012.

ENEO LAKE:
Mpaka hivi sasa hifadhi hii ya Taifa ya kisiwa cha saa Nane ina ukubwa wa eneo la kilomita za mraba  0 nukta 7 ambapo inajumuisha kwa pamoja eneo la nchi kavu na majini.Lakini hata hivyo katika mipango ya baadaye ya kuliongeza eneo hili ukubwa wake Itahusisha visiwa viwili vidogo vya Chankende kubwa na chankende ndogo katika upande wa kusini kijiografia na kulifanya eneo hili la kisiwa cha saa Nane kufikia ukubwa wa kilomita za mraba 1nukta 32. Ikumbukwe na ieleweke ya kwamba hii ndio hifadhi pekee iliyo ndogo nchini Tanzania na Afrika ya mashariki kwa hivi sasa.



Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UFAULU MATOKEO KIDATO CHA SITA WAPANDA MWANZA, SENGEREMA SEKONDARI KINARA

    July 09, 2025
  • BOTI YA KISASA KURAHISISHA UOKOZI NA MATIBABU UKANDA WA ZIWA- RC MTANDA

    July 07, 2025
  • BOTI YA KISASA KURAHISISHA UOKOZI NA MATIBABU UKANDA WA ZIWA- RC MTANDA

    July 07, 2025
  • PROF. NAGU AHITIMISHA MKUTANO WA MWAKA WA TATHIMINI NA UTEKELEZAJI WA HUDUMA ZA AFYA

    July 05, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.