• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

KIKAO KAZI CHA WADAU WA TASINIA YA MBEGU BORA KANDA YA ZIWA NA MAGHARIBI CHAFANYIKA MWANZA

Posted on: December 16th, 2025

Kikao kazi cha wadau wa Tasnia ya mbegu bora kutoka Kanda ya Ziwa na Magharibi kilicholenga kukusanya maoni ya maboresho ya sheria za mbegu nchini kimefanyika leo mkoani Mwanza.

Kikao hicho, kilichojumuisha wazalishaji, wasambazaji, wataalamu, na wadau wa maendeleo, kililenga kutoa mapendekezo yatakayosaidia kuboresha sheria na mifumo ya sekta ya mbegu ili kuendana na mahitaji ya kisasa ya kilimo.

Akifungua kikao hicho kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Katibu Tawala Msaidizi Sekta ya Uchumi na Uzalishaji, Bi. Kadida Kyamani ametoa wito kwa wadau na jamii kwa ujumla kuhakikisha wanatumia mbegu bora zilizoidhinishwa, zenye viwango na ubora unaokubalika kitaifa.

Amesisitiza kuwa matumizi ya mbegu bora ni msingi muhimu wa kuongeza uzalishaji wa mazao, kuhakikisha usalama wa chakula na kuinua kipato cha wakulima.

Kadhalika, amehimiza ushirikiano wa karibu kati ya serikali na wadau wa sekta binafsi ili kuendeleza tasnia ya mbegu nchini na kuhakikisha ustawi wa kilimo cha kisasa.

Kikao hicho ni sehemu ya juhudi za kuboresha sekta ya mbegu nchini, kuhakikisha wakulima wanapata mbegu bora zinazofaa kwa mazingira yao na kuongeza tija katika kilimo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MTANDA ATUMA SALAMU ZA KRISMASI NA MWAKA MPYA KWA WANA-MWANZA

    December 23, 2025
  • RC MTANDA AKUTANA NA NAIBU WAZIRI MAHUNDI

    December 23, 2025
  • RC MTANDA AZINDUA UGAWAJI BODABODA 100 KWA VIJANA WA ILEMELA

    December 22, 2025
  • WAHITIMU AFYA WAASWA KUTUMIA ELIMU KUCHOCHEA MABADILIKO YA JAMII

    December 21, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.