• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

MAAFISA UFUATILIAJI NA TATHMINI WAASWA KUSIMAMIA MISINGI YA KAZI

Posted on: September 12th, 2025

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Dotto Biteko amewasihi maafisa ufuatiliaji na tathmini kusimamia misingi ya kazi kwakua hakuna maendeleo bila kuwa na tathmini.

Amesema hayo leo tarehe 12 Septemba, 2025 kwa niaba ya Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakati akifunga kongamano la nne la Ufuatiliaji, tathmini na kujifunza (MEL) Mkoani Mwanza lililowakutanisha wana taaluma huku waliopewa stadi kwa muktadha wa Afrika.


Mhe. Biteko amelipongeza jukwaa la (MEL) kwa kufikia asilimia 75 ya yale ambayo aliyaagiza katika kongamano la 3 lililofanyika Zanzibar 2023 huku akiwasisitiza wafanye kazi kwa kujiamini na wasijali changamoto zinazotokana na kazi zao za tahmini.


"Nawaomba msijione wanyonge usitafutwe kupendwa unafanya kazi za tathmini sema kweli  usiogope kuchukiwa kwakuwa mtakua watu mnaotenda haki kwa kutoonesha uoga". Amesema Mhe. Biteko.

Naye Naibu Katibu Mkuu, ofisi ya Waziri Mkuu(Sera Bunge na Uratibu) Dkt. James Kilabuko akizungumza kwa niaba ya Katibu Mkuu (Sera Bunge na Uratibu) amesema washiriki wa kongamano wameweza kubadilishana mawazo na uzoefu juu ya maswala ya tathmini na ufatiliaji kwa muda wa siku tatu.

Pia, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewashuku na kuwakaribisha tena waandaji wa kongamano kulirudisha kongamano hilo Mkoani mwanza kwa msimu ujao pamoja na kuwahamasisha kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo mkoani humo.


Mkutano huo umefikia maazimio 12 ikiwa ni pamoja na kuhakikisha jamii zinashirikishwa kwenye tathmini na ufatiliaji kwa afua zote, kukamilisha mfumo wa kielektroniki wa ufatiliaji na tathmini, kurahisisha uandaaji wa sera za taifa na mkutano huo kufanyika kitaifa Dodoma kwa mwaka 2026.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MTANDA AWAALIKA WALIOKOSA ELIMU RASMI KUJIUNGA NA MPANGO WA ELIMU WATU WAZIMA

    September 15, 2025
  • RC MTANDA AWATAKIA HERI BENCHI LA UFUNDI PAMBA JIJI FC MSIMU MPYA

    September 12, 2025
  • MAAFISA UFUATILIAJI NA TATHMINI WAASWA KUSIMAMIA MISINGI YA KAZI

    September 12, 2025
  • RC MTANDA AKABIDHI MAGARI YA BILIONI 1.3 KWA JESHI LA POLISI

    September 12, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.