• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

MITAMBO YA KUOPOA MAGUGUMAJI KUWASILI MWISHONI MWA MWEZI JULAI.

Posted on: May 19th, 2025

MITAMBO YA KUOPOA MAGUGUMAJI KUWASILI MWISHONI MWA MWEZI JULAI


Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita imekamilisha mchakato wa manunuzi ya mitambo miwili maalum ya kuopoa magugumaji aina ya Salvinia na Mtambo mkubwa wa kuondoa magugu maji aina ya Lutenda kabla ya Mwisho wa Mwezi Julai 2025.

Mhe. Waziri Mkuu ametoa tamko hilo mapema leo alipokuwa akikagua maendeleo ya udhibiti wa gugumaji aina ya Salvinia eneo la Kigongo na Busisi (Ziwa Victoria) ambapo amewashukuru wananchi na kwa jitihada za awali za kutumia mitumbwi kusafisha ziwa.

Waziri Mkuu amesema Serikali ina mpango wa kusafisha maeneo yote yanayozunguka ziwa victoria ikiwemo mikoa yote ya Kanda ya Ziwa ili kuhakikisha gugumaji hilo linaondolewa na hali hiyo haitokei tena.

Akisoma taarifa ya magugumaji hayo kwa niaba ya Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mwenyekiti wa timu ya kuondoa Magugu Maji Ziwa Victoria Dkt. Kaniziro Manyika amesema magugumaji hayo yameathiri mifumo ya ikolojia, shughuli za usafiri na usafirishaji na shughuli za uvuvi katika ziwa Victoria.

“Kwa kipindi cha Mwezi Februari hadi kufikia tarehe 18 Mei 2025 kiasi cha tani 840 kimeopolewa, zoezi hili limesaidia kuondoa changamoto ya usafiri na usafirishaji katika eneo la Kigongo-Busisi.”. Amebainisha.

Awali, Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema Katika kushughulikia changamoto hiyo kwa kipindi cha muda mfupi jumla ya tani 840 za gugumaji jipya aina ya Salvinia molesta limeopolewa na kufungua njia ya usafiri na shughuli za kiuchumi katika eneo la Kigongo-Busisi.

Mhandisi Luhemeja ameendelea kwa kusema kwa sasa eneo hilo halina changamoto tena ya Gugumaji ya aina hii mpya na juhudi zinaendelea katika eneo hilo la Kigongo-Busisi za kushughulikia Gugumaji la Asili aina ya Lutende. Jumla ya Ekari 65 zimeshughulikiwa katika kipindi cha wiki moja na lengo ni kumaliza Ekari zote kabla ya tarehe 10 ya Mwezi Juni-2025.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • LENGO LA HOSPITALI ZA WILAYA NI KILA MWANANCHI APATE HUDUMA MAHALI ALIPO - WAZIRI MKUU

    May 19, 2025
  • MITAMBO YA KUOPOA MAGUGUMAJI KUWASILI MWISHONI MWA MWEZI JULAI.

    May 19, 2025
  • WAZIRI MKUU AWATAKA WANAMALYA KUCHANGAMKIA FURSA YA CHUO CHA MICHEZO

    May 18, 2025
  • NIA YA SERIKALI KILA MWANANCHI AUNGANISHIWE MAJI NYUMBANI KWAKE - WAZIRI MKUU

    May 18, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.