• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

PROF. MKENDA AHIMIZA UWEKEZAJI KATIKA ELIMU YA AMALI KURAHISISHA UTEKEKELEZAJI WA MTAALA MPYA

Posted on: July 23rd, 2025

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ametoa wito kwa Wanawake wamiliki wa Shule na Vyuo binafsi nchini, kuwekeza katika sekta ya elimu kupitia elimu ya amali hasa miundombinu iyakayosaidia kurahisisha utekelezaji wa mtaala mpya.

Prof. Mkenda ametoa wito huo leo Julai 23, 2025 wakati akifungua Mkutano Mkuu wa nne wa Chama cha Wanawake Wamiliki wa shule na vyuo Binafsi Nchini, ambapo amewataka Wamiliki hao kushirikiana na serikali katika kutengeneza mkakati wa pamoja wa kuona namna gani wanavyoweza kufanikisha utekelezaji wa elimu ya amali.


“Njooni tuongee, mkitaka kujenga shule za amali, sports academy, njooni tuongee tuone tunawezaje kusaidia”.

Prof. Mkenda amesema dhamira ya serikali ni kuona wanafunzi wanaopatiwa ujuzi wanakuwa na ubora wa kimataifa ambapo itawasaidia kiweza kufanya kazi mahali popote pale duniani.

Akitoa salamu za Mkoa, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda amesema Mkoa wa Mwanza ni Mkoa wa kimkakati hali iliyoipelekea Serikali ya awamu ya sita kuwewekeza zaidi ya shilingi bilioni 196 katika kujenga miundombinu na uratibu wa shughuli za elimu.


“miundombinu ya elimu imeboreshwa ambayo imesaidia kupunguza kwa kiasi kikubwa umbali wa kutembea kwenda shule, msongamano wa wanafunzi madarasani, kuwezesha mazingira bora zaidi kwa walimu na wanafunzi”.

Elimu ya amali ni njia ya elimu inayolenga kuwafundisha vijana ujuzi wa vitendo unaohitajika moja kwa moja kwenye soko la ajira, kama umeme, ujenzi, utengenezaji, ufundi mbalimbali, TEHAMA, sanaa na kilimo


Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WAKULIMA WAASWA KUTUMIA TEKNOLOJIA KUFANYA KILIMO CHA KISASA

    August 02, 2025
  • RMO MWANZA AONGOZA ZIARA YA MAFUNZO YA USAFI NA MAZINGIRA MKOANI IRINGA

    July 21, 2025
  • RAS BALANDYA ATOA MAAGIZO UTEKELEZAJI WA MIRADI SENGEREMA

    July 30, 2025
  • UIMARISHWAJI WA MIFUMO YA KIELETRONIKI IMEONGEZA UWAJIBIKAJI – RAS BALANDYA

    July 23, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.