• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RAS Mwanza ataka Elimu zaidi kwa wadau wa sekta ya uvuvi ili kulinda usalama wao majini

Posted on: December 18th, 2023

RAS Mwanza ataka Elimu zaidi kwa wadau wa sekta ya uvuvi ili kulinda usalama wao majini


Leo Disemba 18,2023 Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza, Ndg. Balandya Elikana ameupokea Ofisini kwake ugeni kutoka Wizara ya Maji ukiongozwa na Katibu Mkuu wake Prof. Jamal Katundu ambapo katika mazungumzo mafupi Balandya ameshauri watumiaji wa Ziwa Victoria wazidi kuelimishwa hasa kutokana na kukabiliwa na majanga ya ajali za kuzama mara kwa mara.

"Mkoa wa Mwanza asilimia 53 ni Ziwa Victoria, hivyo idadi kubwa ya wananchi shughuli zao za kiuchumi wanategemea Ziwa hilo, hivyo watakapo elimishwa kuhusiana mazingira ya kiusalama nguvu kazi itazidi kuimarika," Balandya

Mtendaji huyo wa Mkoa ameupongeza mradi wa kituo cha usalama majini kinachojengwa Mkoani Mwanza na Jumuiya ya Afrika Mashariki na kusema kitaongeza tija kwenye sekta ya uvuvi na usalama wa majini kwa ujumla.

Kwa upande wake Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Prof. Jamal Katundu amebainisha lengo la ujio wake Mwanza ni kukagua na kutoa ushauri kwenye miradi mbalimbali iliyo chini ya bonde la Ziwa Victoria, Mwauwasa na kituo cha kimataifa cha usalama majini malengo yake yakiwa ni kuwanufaisha wananchi kama ilivyo kusudiwa.

"Ndugu Katibu Tawala wa Mkoa nikupongeze kwa kujaliwa miradi mingi hapa Mwanza,ni wajibu wetu sasa sisi viongozi tuhakikishe inakamilika kwa wakati,yenye ubora na kuwaletea maendeleo wananchi,"amefafanua Prof.Katundu wakati wa mazungumzo mafupi na mwenyeji wake.

.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.