• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MAKALLA AZITAKA HALMASHAURI ZA ILEMELA NA JIJI KUANDAA MPANGO WA KUBORESHA MAPATO YA STENDI ZA NYAMHONGOLO NA NYEGEZI

Posted on: June 26th, 2023

RC MAKALLA AZITAKA HALMASHAURI ZA ILEMELA NA JIJI KUANDAA MPANGO WA KUBORESHA MAPATO YA STENDI ZA NYAMHONGOLO NA NYEGEZI


*Amewataka Kukutana na LATRA na TABOA kwa ajili ya ufanisi*


*Awataka wapitie upya bei ya vyumba katika Stendi hizo*


Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhe. CPA. Amos Makalla amezitaka Halmashauri za Manispaa ya Ilemela na Jiji la Mwanza kuandaa mpango kazi wa kuboresha mapato ya Stendi za Nyamhongolo na Nyegezi na kujifunza kutoka katika Halmashauri zingine ambazo zimefanikiwa kupitia vyanzo hivyo vya mapato.

Mhe. CPA. Makalla amesema hayo wakati wa Mkutano wa Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela kwa ajili ya kujadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) za Mwaka 2021/22 leo Juni 26, 2023.

"Angalieni vyanzo vya mapato mlivyo navyo ili mpate ushuru, wekeni huduma stahiki katika vyanzo hivyo ili muweze kuwashawishi watu Kwa vile vyanzo ambavyo vinatoa mapato navyo msimamie  boresheni huduma katika masoko katika stendi ili kuhakikisha mapato yanapatikana" CPA Makalla.

"Mkae muweke mkakati wa kuboresha mje na mpango kazi mzuri ndio maana nikatoa nafasi mwende mkajifunze kutoka kwenye majiji na Halmashauri ambazo zina stendi kama yenu, muwaangalie wanafanikisha vipi katika ufanisi wa stendi ili tujifunze katika manispaa zilizofanikiwa katika kuziendesha hizo stendi" amesisitiza Mkuu huyo wa Mkoa

Aidha, Mhe. Makalla  ameitaka Menejimenti ya Halmashauri hiyo kuhakikisha wanajibu hoja zote za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ili kuhakikisha Halmashauri inaendelea kupata hati safi.


"Leo tumekaa hapa kujadili hoja hizi  ni kazi ya menejimenti mkurugenzi ukasimamie kuhakikisha hoja hizi zinatekelezwa na fanyieni kazi jibuni hoja zote kama ambavyo imeelekezwa na pale mtakapokwama msipate tabu ya namna ya kuwasiliana na ofisi ya CAG ili kupata namna ya kuziondoaha hizo hoja.


Naye, Kaimu Mkaguzi Mkuu wa Nje wa Mkoa wa Mwanza, Waziri Shabani kwa niaba ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali amesema kwa hesabu zinazoishia tarehe 30 Juni 2022  Halmashauri ya Wilaya ya Ilemela ilipata hati inayoridhisha.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.