Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda akisaini kitabu cha maombolezo ya msiba wa Mtukufu Aga Khan IV aliyekuwa Imamu wa 49 wa Waislamu wa Ismailia na mwanzilishi wa Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan (AKDN), katika Msikiti wa Mwanza Ismaili Jamatkhana uliopo jijini Mwanza, leo Jumatatu Februari 10, 2025.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.