• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AWATAKA RUWASA KUFIKISHA MAJI MWASONGWE - MISUNGWI

Posted on: September 13th, 2024

RC MTANDA AWATAKA RUWASA KUFIKISHA MAJI MWASONGWE - MISUNGWI


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewataka Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Wilaya ya Misungwi kuhakikisha wanafikisha Maji kwenye kijiji cha Mwasonge kupitia mpango wa upanuzi wa mradi wa Maji wa Kigongo- Busisi wenye thamani ya zaidi ya Bilioni 6.

Mhe. Mtanda ametoa agizo hilo leo tarehe 13 Septemba, 2024 wakati akizungumza na wananchi wa kijiji hicho katika ziara yake aliyoifanya mahsusi kwa ajili ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi na kuibuliwa kero hiyo dhidi ya RUWASA.

Mhe. Mtanda amesema RUWASA ina wajibu wa kutumia ubunifu kuhakikisha wananchi wanafikishiwa maji kwa kutumia miradi mikubwa inayotekelezwa sehemu mbalimbali kwa kutumia chanzo cha maji ya ziwa victoria na akawataka ndani ya siku 4 kuhakikisha wanatoa elimu kupitia mkutano wa kijiji kuhusu lini wanawafikishia huduma hiyo.

Naye, Kaimu Meneja wa RUWASA Misungwi Mhandisi Richard Mlilwa amebainisha kuwa mapema mwaka 2025 wananchi wa Mwasonge watafikishia Maji  kupitia Mradi huo ambapo tayari usanifu umeshafanyika na kupata mtandao wa kilomita 25 na kwamba wataweka vituo 12 vya kuchotea Maji na tanki lenye ujazo wa Lita 650,000.

Aidha kufuatia kero ya ndugu Issa Omary aliyoiwasilisha katika mkutano huo inayohusiana na masuala ya usalama, Mkuu wa Mkoa ameliagiza jeshi kuhakikisha ndani ya siku 7 wanawakamata wahalifu waliovunja maduka 5 na kuiba mali kwenye kijiji hicho usiku wa kuamkia Septemba 13, 2024 na wafikishwe mahakamani.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.