• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AWATAKA WAFANYABIASHARA MWANZA KUCHANGAMKIA DIRISHA LA UWEZESHAJI

Posted on: September 3rd, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ametoa rai kwa Wafanyabiashara Mkoani humo kuhakikisha wanachangamkia dawati la uwezeshaji biashara lililofunguliwa rasmi kwa kupeleka changamoto ambazo wanakumbana nazo ili waweze kunasuka na kuendelea kufanya biashara vizuri.

‎

‎Mhe.Mtanda ameyasema hayo leo jumatano tarehe 03 septemba, 2025 wakati  akizindua dawati maalumu la uwezeshaji biashara kwa maendeleo ya taifa kwenye viwanja vya TRA Mkoa wa Mwanza.

Mkuu wa Mkoa amesema dawati hilo ni muhimu sana na kutoa wito kwa Meneja wa TRA Mkoa wa Mwanza kuhakikisha dawati hilo linapatikana pia katika Wilaya zote za Mkoa wa Mwanza ili kuhakikisha huduma zinawafikia wananchi kule waliko.

Aidha RC Mtanda ameeleza kuwa ukusanyaji kodi ni kitu muhimu katika kukuza uchumi wa Taifa na kuwataka Wafanyabiashara kutokukwepa kulipa kodi kwani Tanzania itajengwa na Watanzania wenyewe.

“Suala la kodi ni suala la nchi tunalazimika kulipa kodi, hatuwezi kuendesha serikali bila kulipa kodi hata maendeleo tunayoyaona leo katika Taifa letu kwa mfano juzi lile daraja la Kigongo -Busisi  lililozinduliwa serikali ilitutangazia ni kodi zetu za ndani”.

Kila Mtanzania akilipa kodi kwa kiasi chake, kwa kiwango chake, mwenye kulipa elfu 20 alipe, anayetakiwa laki moja alipe anaye takiwa milioni moja alipe hapo ndipi tutaweza kulijenga Taifa letu. Ameongeza Mhe. Mtanda.

‎

‎Awali,Meneja wa Mamlaka ya Mapato (TRA) Mkoa wa Mwanza Ndugu Faustine Mdesa amesema dhima ya kuwa na dawati hilo ni kutimiza maagizo ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambapo amewataka TRA kuboresha mahusiano na wafanyabiashara kwa kuwasikiliza na kuwasaidia kutatua changamoto zao.

‎

‎Akizungumza kwa niaba ya Wafanyabiashara, Jacob Paul amesema kufunguliwa kwa dawati hilo limewapa matumaini makubwa kwani wafanyabiashara wamekuwa na kero nyingi na sasa wamepata mahali pa kuziwasilisha ili zipatiwe ufumbuzi.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MTANDA AWATAKA WAFANYABIASHARA MWANZA KUCHANGAMKIA DIRISHA LA UWEZESHAJI

    September 03, 2025
  • RC MTANDA AWAASA TCCIA KUTUMIA TEKNOLOJIA ZINAZOHIMILI MABADILIKO YA TABIA NCHI

    September 02, 2025
  • WAFANYABIASHARA NDOGO NDOGO MWANZA WAHIMIZWA KUIMARISHA NIDHAMU ILI KUKUA KIUENDELEVU

    September 02, 2025
  • MAMLAKA ZA USIMAMIZI HUDUMA ZA MAJI NI NYENZO YA HUDUMA BORA- RAS BALANDYA

    September 02, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.