• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AZINDUA SHULE YA MSINGI KANYERERE, AIPONGEZA SERIKALI NA WANANCHI KWA USHIRIKIANO

Posted on: February 12th, 2026

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amezindua Shule ya Msingi Kanyerere iliyopo Kata ya Mkuyuni jijini Mwanza na kuishukuru Serikali Kuu kwa kutoa zaidi ya Sh370 milioni kukamilisha ujenzi huo.

Amepongeza wananchi kwa kuchangia ardhi, nguvu kazi na zaidi ya Sh17.5 milioni kufanikisha mradi huo na wadau zaidi ya milioni 35. Mradi huo uliotekelezwa kwa mfumo wa Force Account umegharimu jumla ya Sh424,856,500 na umehusisha ujenzi wa madarasa 13, ofisi tatu, jengo la utawala na matundu 10 ya vyoo. Fedha zimetoka Halmashauri ya Jiji la Mwanza, wananchi na wadau mbalimbali.

Shule ilianza kujengwa Desemba 2023 na kuanza kutumika Novemba 2025. Kwa sasa ina wanafunzi zaidi ya 1,000 kati yao 808 waliohamishwa kutoka Shule ya Msingi Tambukareli (wavulana 375 na wasichana 433), hatua iliyopunguza msongamano wa wanafunzi.

Akijibu ombi la Diwani wa Butimba kuhusu ujenzi wa chumba cha wagonjwa maalum katika Hospitali ya Wilaya ya Nyamagana, amesema atashirikiana na Mbunge kuhakikisha hospitali hiyo inasimamiwa ipasavyo.

Kuhusu barabara ya Mkuyuni–Nile Peach yenye urefu wa kilomita 10.5 na gharama ya zaidi ya Sh22 bilioni, amesema wamekubaliana na TARURA kuanza na kilomita tano huku akiahidi kuwasiliana na Mtendaji Mkuu wa TARURA ili ujenzi uanze kwani upembuzi yakinifu tayari umekamilika.

Sambamba na hayo Mkuu wa Mkoa ameahidi kuunga mkono juhudi za wananchi na wadau katika ujenzi wa Ofisi ya Serikali ya Mtaa huo atachangia mifuko 50 ya saruji na matofali 1000.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI IDARA YA MAAFA OWM AFUNGA MAFUNZO YA KUKABILIANA NA DHARULA MWANZA

    February 20, 2026
  • KAYA 19,344 KUNUFAIKA NA BIMA YA AFYA KWA WOTE MWANZA AWAMU YA KWANZA

    February 20, 2026
  • RC MTANDA AMPOKEA WAZIRI DEUS SANGU MWANZA

    February 20, 2026
  • RC MTANDA AWATAKA WASIMBE NA WABANZA KUUNGANA KUKATA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    February 20, 2026
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.