• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MTANDA AZITAKA HALMASHAURI KUTUMIA MAPATO YA NDANI KUTEKELEZA MIRADI

Posted on: July 28th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amezitaka Halmashauri za Mkoa huo kurejesha fedha za mapato ya ndani kwa wananchi kwa kuwajengea miradi ya maendeleo katika sekta mbalimbali kwenye vijiji.

Amesema sheria zinaelekeza kutumia asilimia 40 ya makusanyo ya ndani kutekeleza miradi katika sekta za afya, kilimo, uvuvi, afya, elimu na miundombinu ikiwa ni katika kurejesha fedha kwa wananchi kwani vyanzo vya makusanyo ya fedha hizo ni pamoja na ushuru utokanao na mazao.


Mhe. Mtanda ametoa kauli hiyo Wilayani Misungwi alipokua akikagua miradi ya maendeleo na kubaini kuwa halmashauri nyingi wanatekeleza miradi mingi kwa kutumia fedha kutoka serikali kuu zaidi ya zinazotokana na mapato ya ndani.

Aidha, amewapongeza halmashauri hiyo kwa kutumia kiasi cha Tshs. Milioni 50 kutoka kifungu cha mapato ya ndani ambazo zimejenga madarasa mawili katika shule ya sekondari ya Jitihada na kusaidia kupunguza msongamano wa wanafunzi darasani.


Kadhalika, ameiagiza Halmshauri ya Wilaya ya Misungwi kukamilisha Zahanati ya kijiji cha Nyamikoma (Tshs. 107 M), mradi wa upanuzi wa mtandao wa maji safi (Tshs.188 M) pamoja na barabara ya kiwango cha lami Majengo (Tshs.411 M) ili ianze kutoa huduma.


Mhe. Mkuu wa Mkoa amehitimisha ziara yake kwa kukagua ujenzi wa shule ya sekondari ya Mwasonge inayojengwa kwa zaidi ya Tshs. Milioni 715 na ameagiza mkandarasi kuweka madirisha ya vioo haraka ili kuzuia rangi kwenye madarasa kupata vumbi pamoja na vyoo ili wanafunzi wasipate magonjwa ya mlipuko.


Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WAKULIMA WAASWA KUTUMIA TEKNOLOJIA KUFANYA KILIMO CHA KISASA

    August 02, 2025
  • RMO MWANZA AONGOZA ZIARA YA MAFUNZO YA USAFI NA MAZINGIRA MKOANI IRINGA

    July 21, 2025
  • RAS BALANDYA ATOA MAAGIZO UTEKELEZAJI WA MIRADI SENGEREMA

    July 30, 2025
  • UIMARISHWAJI WA MIFUMO YA KIELETRONIKI IMEONGEZA UWAJIBIKAJI – RAS BALANDYA

    July 23, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.