• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC MWANZA AKUTANA NA VIONGOZI & WACHUNGAJI WA AICT ASISITIZA AMANI NA MSHIKAMANO

Posted on: December 2nd, 2025

Leo Desemba 02, 2025 Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amefanya kikao na viongozi wa Kanisa la African Inland Church of Tanzania (AICT) katika Kanisa Kuu la Makongoro Jijini Mwanza, ambapo amewataka viongozi wa dini kuendelea kuhubiri amani, upendo na mshikamano katika jamii.

Katika mazungumzo hayo, Mkuu wa Mkoa amesisitiza kuwa Taasisi za Kidini zina nafasi kubwa katika kujenga na kudumisha umoja wa kitaifa, hivyo ni muhimu mahubiri na miongozo wanayotoa kwa waumini iwe ya kuimarisha uelewano na kudhibiti misuguano isiyo ya lazima.

Aidha, amewataka viongozi wa AICT Mkoani Mwanza kutokubali kutumika kugawa waumini wao, bali waendelee kuhimiza misingi ya umoja na mshikamano miongoni mwa wananchi.

Amesema kuwa jukumu la Viongozi wa Dini ni kuhakikisha jamii inabaki kuwa na maadili, ustahimilivu na upendo bila kujali tofauti za kiimani, kikabila au kijamii.

Viongozi wa AICT wakiongozwa na Askofu Mkuu wa Kanisa la AICT na Askofu wa AICT Dayosisi ya Mwanza Mussa Masanja Magwesela wamemshukuru Mkuu wa Mkoa kwa ziara hiyo na kuahidi kuendelea kushirikiana na serikali katika kuhamasisha amani na maadili mema ndani ya jamii.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MWANZA AKUTANA NA VIONGOZI & WACHUNGAJI WA AICT ASISITIZA AMANI NA MSHIKAMANO

    December 02, 2025
  • TUWE WABUNIFU KWENYE KAZI TUSISUBIRI KUELEKEZWA- RAS BALANDYA

    December 02, 2025
  • RC MTANDA AZITAKA KAMATI ZA USHAURI WA KISHERIA KATIKA MKOA WA MWANZA KUMALIZA NA KUTATUA MIGOGORO YA WANANCHI

    December 02, 2025
  • RAS MWANZA AWAASA WAHITIMU KUTUMIA UBUNIFU, RASILIMALI KUTENGENEZA FURSA

    November 28, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.