• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

REO MWANZA AFANYA TATHIMINI YA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE NA KUTOA MAAGIZO KWA SHULE ZILIZOFANYA VIBAYA

Posted on: February 6th, 2024

REO MWANZA AFANYA TATHIMINI YA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE NA KUTOA MAAGIZO KWA SHULE ZILIZOFANYA VIBAYA


Afisa Elimu Mkoa wa Mwanza Martin Nkwabi amefanya kikao na walimu wakuu wa shule zote za Sekondari za mkoani humo ambazo zimefanya vibaya kwenye matokeo ya kidato cha nne mwaka 2023-2024

Amesema hayo leo Februari 06, 2024 katika ukumbi wa Mkuu wa Mkoa ambapo amekutana na walimu wakuu wote wa shule za Sekondari zilizofanya vibaya katika matokeo ya Kidato cha nne Mwaka 2023-2024 ambapo ni tathimini ya kimkakati ya kila mwaka kwa lengo la kutokomeza ufaulu usiokidhi viwango na kupandisha ufaulu mkoani humo.

“Mwaka jana tulikuwa na shule 53 zilizokuwa na ufaulu mbaya na kati ya hizo ni shule 21 tu ndo ambazo wamefanikiwa kupandisha ufaulu wao mwaka huu, hao wengine wameporomoka sana kulinganisha na matokeao ya zamani na shule hizi zinatoka katika halmashauri ya ukerewe, Jiji la Mwanza Misungwi hazijafanikiwa kupandisha ufaulu kabisa na kukidhi viwango vya ufaulu”, amesema Nkwabi.

Lakini pia amewapongeza sana walimu wa taaluma kwa jitihada zao za kuhakikisha shule zinafanya vizuri katika matokeo, pia ametaka walimu wakuu wa shule huu mwaka kuwa wa mwisho kwa matokeo mabovu katika shule zao.

Nae Afisa Taaluma Mkoa wa Mwanza Aisa Rupia ametoa orodha ya shule zilizopandisha ufaulu na ambazo hazijapindisha ufaulu katika mkoa huo, lakini amezitaka shule zingine kuiga mfano kwenye shule zilizofanya vizuri na kufuta sifuri na rai yake ni kutaka shule zote zipate matokeo chanya huku akihamasisha uwajibikaji na kujitoa mashuleni.

“Tunazipongeza kwa dhati shule zilizofuta daraja sifuri rai shule ziandae mikakati ya kufuta sifuri katika mkoa wa Mwanza wanafunzi wajengewe uwezo wa kufanya vizuri zaidi kitaaluma,”amesema Afisa Taaluma

Huo ni muendelezo wa kuleta matokeo chanya ya kielimu katika mkoa wa Mwanza kwenye shule za Sekondari, tathimini hizo hufanyika kila mwaka kwa dhumuni la kuboresha kupandisha ufaulu na kutokomeza sifuri.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.