• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

shirika la Compassion Conect kutoka Marekani latoa huduma ya Meno na Macho Mwanza

Posted on: August 25th, 2021

Zaidi ya wakazi 2000 kutoka Wilaya ya Nyamagana na maeneo jirani mkoani Mwanza wamepatiwa huduma mbalimbali za kitabibu zinazo husisha vipimo vya macho na meno,bila gharama zozote kupitia shirika la Compassion Conect kutokea nchini Marekani.

Akijiridhisha na utolewaji wa huduma hiyo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel anasema  serikali  inatoa pongezi kwa shirika hili ambalo limejitwika moja kwa moja jukumu la kujali afya za wananchi.


anaongeza kuwa wameleta vitu,vifaa kwa ajili ya kufanya hilo zoezi na wamesema wako tayari kuhakikisha kama tunamahitaji mengine ya pamoja wapo tayari katika kutusaidia kuona namna gani tunaweza kuwahudumia wananchi katika maeneo hayo pia serikali itaendelea kushirikiana na Shirika hilo .

  

Kwa upande wake Afisa Muunguzi kutoka Shirika la Compassion Connect Robert Renatus anaeleza kuwa 

shirika hilo lenye makao makuu nchini marekani na limefanikisha hatua hii ya kutoa msaada kwa watu wanaosumbuliwa na maradhi tofauti.

Anasema mwananchi wamejitokeza kwa wingi lakini baadhi ya matatizo yaliyojitokeza na kuchangia kukwamisha uharaka wa zoezi hilo baada ya mwaamko mkubwa ni watu kukwepa huduma zinazotolewa na madaktari wenye asili ya kitanzania.

"Mtu anatamani angalau akiguswa na mzungu mambo yanakuwa vizuri kuhusu ilo mchungaji alihakikisha kila chumba ambacho kinahudumia wagojwa angalau kuwe na mzungu mmoja na mwafrika mmoja kwa kiasi hicho tumefanikiwa kuhakikisha wagonjwa wanarizika na huduma zetu" anaeleza

Anaongea kuwa Matibabu ya shinikizo la damu, meno na macho ni miongoni mwa huduma kuu zilizotolewa na shirika la hilo ambayo yamedumu kwa wiki moja huku idadi kubwa ya walioshiriki wakitajwa kubainika na matatizo ya macho.

Ezekiel Lupima na Getruda Richard ni baadha ya wananchi walionufaika na huduma hizo za viwango na zisizo na malipo walieleza kuwa walikabiliwa na tatizo la macho kwa kipindi kirefu hivyo huduma walizopatiwa imekuwa ni mwanga katika maisha yao na walitoa shukrani zao kwa shirika hilo .

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 05, 2021
  • Tangazo kuhusu uhamisho wa ndani na nje ya Mkoa wa Mwanza. January 05, 2021
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MKOA WA MWANZA MWAKA 2021 February 05, 2021
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2018 Shule za Sekondari za Serikali Mkoa wa Mwanza December 13, 2017
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC Mwanza azindua msimu wa manunuzi zao la Pamba 2022/2023,atangaza bei elekezi Shilingi 1560

    May 20, 2022
  • RAS Mwanza afanya ukaguzi Sekta ya Afya Wilayani Ukerewe,ahimiza umakini kazini

    May 18, 2022
  • RC-MWANZA Azindua Chanjo ya Matone ya Polio Ukerewe

    May 18, 2022
  • Mkuu wa Mkoa Mwanza azikumbusha Familia kuzingatia wajibu wa Malezi kwa watoto

    May 15, 2022
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Regional Drive Mkabala na Ofisi za TRA

    S.L.P: S.L.P. 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras.mwanza@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.