• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

SKIMU YA UMWAGILIAJI KUSAIDIA KUONGEZA UZALISHAJI MAZAO BUCHOSA

Posted on: October 6th, 2024

SKIMU YA UMWAGILIAJI KUSAIDIA KUONGEZA UZALISHAJI MAZAO BUCHOSA


Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Ndg. Godfrey Eliakim Mnzava leo tarehe 06 Oktoba, 2024 amezindua mradi wa skimu ya umwagiliaji iliyojengwa kwa Tshs. Bilioni 2. 4 kupitia tume ya taifa ya umwagiliaji kwenye kijiji cha Sukuma kilichopo Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa.

Akizungumza na wananchi wa Sukuma, Magurukenda na maeneo ya jirani, ndugu Mnzava ameipongeza serikali kwa kutekeleza ujenzi wa miundombinu hiyo na amebainisha kuwa itawasaidia wakulima kuongeza uzalishaji kwa kufanya shughuli hizo katika kipindi chote cha mwaka pasipo kusubiri mvua.

Ametumia pia wasaa huo kuwaondoa hofu wananchi kwamba mradi huo sio kwa ajili ya wawekezaji na katika hilo amewahakikishia kuwa mradi huo ni kwa ajili ya wananchi na kwamba serikali ya awamu ya sita imedhamiria kuwainua wananchi wake kiuchumi.

"Mradi huu ni kwa ajili ya wananchi sio wawekezaji, naomba mpuuze maneno na minong'ono inayosema kwamba mradi huo umetekelezwa kwa ajili ya wawekezaji tumieni fursa hii kuongeza uzalishaji kwenye mazao ya chakula, matunda na mbogamboga." Amesema Kiongozi wa mbio za Mlmwenge

Aidha, Mwenge wa uhuru umezindua madarasa 2 na matundu 6 ya vyoo katika shule ya awali na msingi Nyehunge iliyotekelezwa na serikali kwa Tshs. milioni 55.8 kupitia mradi wa GPE LANES kabla ya kuweka jiwe la msingi kwenye Zahanati ya Nyakasungwa ambapo Milioni 250 za mapato ya ndani yakijenga majengo ya OPD na maabara.

Halikadhalika, mwenge wa uhuru umezindua mradi wa maji kwenye kijiji cha Kasela wenye uwezo wa kuzalisha lita milioni moja kwa siku wenye thamani ya Milioni 218 ambapo kiongozi wa mbio hizo amewapongeza wasimamizi (RUWASA) kwa kuongeza hali ya upatikanaji wa maji safi kutoka 10% hadi 85%.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.