Swahili
  • English
  • Swahili
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

TUMIENI MAFUNZO MLIOPEWA KUWA WATUMISHI HODARI NA WENYE WELEDI:RAS BALANDYA

Posted on: April 18th, 2024

TUMIENI MAFUNZO MLIOPEWA  KUWA WATUMISHI HODARI NA WENYE WELEDI:RAS BALANDYA


Watumishi wapya katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza wameaswa kutumia mafunzo elekezi waliopewa kuweza kuwajenga kuwa watumishi hodari wenye weledi na kuwa tija kwa umma.

Rai hiyo imetolewa Aprili 18,2024 na Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ndg. Balandya Elikana kwenye ukumbi mdogo wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa  alipokuwa akizungumza  na watumishi wapya mkoani humo katika ufunguzi wa mafunzo elekezi ya siku tatu yenye lengo la kuboresha utendaji wao wa kazi.

“Nawapongeza kwa kufanikiwa kuajiriwa katika Serikali ya awamu ya sita rai yangu kwenu  tukaitumie vizuri nafasi hii ili thamani ya kuajiriwa iweze kuonekana kwa waajiri wetu na wananchi.”amesisitiza Mtendaji huyo wa Mkoa.

Naye Katibu Tawala Msaidizi  Rasilimali watu na Utawala Bw. Daniel Machunda amemshukuru Katibu Tawala  kwa kuridhia kuruhusu mafunzo hayo kufanyika  na amewaasa watumishi wapya kuleta matokeo chanya katika majukumu  waliopangiwa.

“Nakushukuru sana na kukupongeza ndugu Balandya  umekuwa msaada sana mambo ya watumishi umekuwa ukiyapa kipaumbele”Daniel Machunda.

Kikao hicho kimehudhuliwa na watumishi 12 ambao wanatoka kada mbalimbali za utumishi ambao ni mkadiliaji  majengo mmoja, madereva kumi na mtunza kumbukumbu mmoja.

Wakati huo huo Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ndg.Balandya Elikana amekutana na kufanya mazungumzo mafupi Ofisini kwake na Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bw. Haji Janabi aliyeambatana na viongozi wengine waandamizi kwa ajili ya maandalizi ya kongamano la kukusanya maoni ya wadau kuhusu mapendekezo ya marekebisho ya sera ya mambo ya nje ya mwaka 2001litakalofanyika Aprili 19,2024 Gold Crest Hotel.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • OFISI YA MKUU WA MKOA WA MWANZA YATOA SALAMU ZA PONGEZI KWA PROF.JANABI

    May 20, 2025
  • LENGO LA HOSPITALI ZA WILAYA NI KILA MWANANCHI APATE HUDUMA MAHALI ALIPO - WAZIRI MKUU

    May 19, 2025
  • MITAMBO YA KUOPOA MAGUGUMAJI KUWASILI MWISHONI MWA MWEZI JULAI.

    May 19, 2025
  • WAZIRI MKUU AWATAKA WANAMALYA KUCHANGAMKIA FURSA YA CHUO CHA MICHEZO

    May 18, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.