• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

TUWE WABUNIFU KWENYE KAZI TUSISUBIRI KUELEKEZWA- RAS BALANDYA

Posted on: December 2nd, 2025

Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Ndg. Balandya Elikana amewataka watumishi mkoani humo kuwa wabunifu kwenye kazi bila kusubiri kuelekezwa kutoka kwa wakuu wa idara na viongozi wao juu ya nini cha kufanya ili kuweza kupata matokeo mazuri

Ametoa wito huo kupitia kikao alichokifanya leo Disemba 2, 2025 na watumishi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza ambacho kilikua na lengo la kukumbushana majukumu ya kazi .

Aidha Ndg. Balandya amesema katika kufanikisha hilo watumishi katika idara zao wanatakiwa kushirikiana na kufanya kazi kwa ubunifu na ueledi ili kuunganisha taasisi nzima katika kuleta tija kwenye utendaji na kwa wananchi.

“Tuwe wabunifu kwenye kazi tutekeleze majukumu yetu yaliyo kwenye muundo wa ajira zetu kwani kila mmoja kwenye eneo lake anamuongozo wa majukumu ya msingi ya kufanya”. Amesema Ndg. Balandya.

Aidha, ametoa rai kwa watumishi kwenda sambamba na mabadiliko ya teknolojia kwa kuhakikisha wanaifahamu mifumo mbali mbali ambayo imewekwa ili kusaidia uharakishaji na ufanisi wa majukumu katika ofisi.

Akihitimisha kikao chake na watumishi Ndg. Balandya amewasihi kuilinda amani ya nchi na kuchukua tahadhari kwenye makazi yao wanapoishi.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MWANZA AKUTANA NA VIONGOZI & WACHUNGAJI WA AICT ASISITIZA AMANI NA MSHIKAMANO

    December 02, 2025
  • TUWE WABUNIFU KWENYE KAZI TUSISUBIRI KUELEKEZWA- RAS BALANDYA

    December 02, 2025
  • RC MTANDA AZITAKA KAMATI ZA USHAURI WA KISHERIA KATIKA MKOA WA MWANZA KUMALIZA NA KUTATUA MIGOGORO YA WANANCHI

    December 02, 2025
  • RAS MWANZA AWAASA WAHITIMU KUTUMIA UBUNIFU, RASILIMALI KUTENGENEZA FURSA

    November 28, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.