• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

WANAWAKE MWANZA WAJA NA SACCOS MOJA KUWAUNGANISHA MAKUNDI YOTE

Posted on: November 6th, 2024

WANAWAKE MWANZA WAJA NA SACCOS MOJA KUWAUNGANISHA MAKUNDI YOTE


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewapongeza wanawake mkoani humo kwa kuazisha SACCOS itakayowaunganisha kwenye sekta ndogo ya fedha na kuhakikisha wanakua kitu kimoja kwa kuwaunganisha makundi yote ndani ya mkoa huo.

Mhe. Mtanda ametoa pongezi hizo leo Novemba 06, 2024 katika hafla ya ufunguzi wa semina ya uhamasishaji wa kuanzisha SACCOS ya wanawake Mkoani humo iliyofanyika katika ukumbi wa Nyanza Coperative Union.

Aidha, amewataka wanawake hao kuitumia vizuri Ofisi ya Mrajisi Msaidizi na CRDB foundation kupitia programu ya IMBEJIMU kupata elimu ya fedha, umuhimu wa kuhifadhi sehemu salama, elimu ya biashara na ikasaidie kuwapa elimu akina mama wengine ili waweze kukuza mitaji.

"Sekta ya fedha inajumuisha taasisi zote zinazojihusisha na huduma ya fedha zikiwemo microfinance ambapo kwa sehemu kubwa ni SACCOS, hii imedhihirisha ukweli kwamba sekta hii inayogusa vikundi vya wananchi wa hali ya kati na chini imekua na mchango mkubwa katika kuimarisha uchumi wa nchi." Mtanda.

Akisisitiza umuhimu wa SACCOS, Mhe. Mtanda amesema mwaka 2024 Mwanza imesajili SACCOS hai 41 kwenye mfumo wa kielekitroniki na kupatiwa leseni za biashara  zenye wanachama 14, 000 wenye hisa na wana amana za bilioni 27.7 na kwamba mikopo iliyotolewa kwa wanachama hao ni Bilioni 2.4.

Hilda Boniface, Mrajisi Msaidizi wa vyama vya Ushirika Mkoa wa Mwanza amesema lengo la kuanzisha chama hicho ni kuunganisha vyama mbalimbali ndani ya Mkoa wa Mwanza na kuwa na chama kikubwa na imara kama vyama vya mazao zaidi ya 200, vyama 24 vya wavuvi, akiba na mikopo 41.

Vilevile, amesema kupitia umoja huo wanawake watahamasisha uzalishaji kwenye zao la pamba ambalo kwa sasa limekua likisuasua, kukomesha kabisa wizi wa samaki kwenye vizimba vya kisasa vya wavuvi pamoja na kukomesha tabia ya kutorejesha mikopo kwa wanachama kwenye vyama vya akiba na mikopo.

Aidha, amefafanua kuwa kupitia umoja huo itakua fursa sasa kwa makundi mbalimbali ya kitaaluma kujiunga kwa kujisajili kama fungamani za pamoja na kuhakikisha kunakua na chombo kimoja imara kiuchumi ndani ya mkoa wa Mwanza.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.