• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

CCM kuadhimisha miaka Ishirini ya kifo cha Mwalimu kwa kutangaza mafanikio makubwa yaliyofikiwa na serikali ya awamu ya Tano chini ya Dkt Magufuli

Posted on: January 8th, 2019

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Tanzania CCM amefanya ziara ya kikazi mkoani Mwanza ikiwa ni ziara yake ya Kwanza tangu ateuliwe kuchukua nafasi hiyo kitaifa

Akiwa Katunguru wilayani Sengerema Dkt Bashiru amekagua eneo ambalo wanatarajia kujenga chuo cha uongozi. Hata hivyo pia Katibu Mkuu amewahasa wana CCM wote Nchini kuwa na Umoja na kumaliza makundi na migogoro ya kimaslai ambayo hupelekea CCM kuvurugika na kuwafanya wananchi kukichukia Chama.

Dkt Bashiru amesema CCM kwa sasa hivi kimekuwa ni chama ambacho heshima yake ya awali inarudi kutokana na Viongozi wakuu wa Chama kusimamia misingi iliyowekwa na waasisi wa Chama Mwl Nyerere na Sheik Abeid Aman Karume.

"Kama chama tumejipanga kuadhimisha miaka Ishirini ya Kifo cha Mwl Nyerere kwa kutangaza  ndani na Nje ya Nchimafanikio makubwa yaliyofikiwa na serikali ya awamu ya Tano .Mengi Miradi mikubwa na mambo makubwa yanayotekelezwa yalikuwa ni maono ya Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere " alisema Dkt Bashiru

Miradi mikubwa inayotekelezwa ni Pamoja na Ujenzi mkubwa wa Mradi wa Umeme Mto rufiji "Stiglers Gauge" ujenzi wa reli ya kisasa , ufufuaji wa shirika la Ndege, utoaji wa elimu Bure,Ulinzi wa rasilimali zetu, Maadili ya Viongozi na watumishi wa Umma.

Hata hivyo Katibu Mkuu amepata fursa ya kutembelea upanuzi wa Barabara Mjini mpaka Uwanja wa Ndege, Upanuzi wa kiwanja cha ndege

 .                                                         

                                                           


Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.