Swahili
  • English
  • Swahili
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Elimu kuhusu hali ya hewa yatolewa Mwanza

Posted on: November 6th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza  Mhe.John Mongella amefungua warsha ya Utoaji Elimu kuhusiana na huduma za hali ya hewa zinazozingatia  athari iliyofanyika Mkoani Mwanza katika Ukumbi wa Chuo cha Benki Kuu.

Akifungua Warsha hiyo  Mhe.Mongella amesema takribani nusu ya wakazi wa maeneo ya jirani wanategemea zaidi shughuli za ubuvi na kilimo hivyo taarifa ya hali ya hewa ni muhimu sana katika kuimarisha maisha ya yananchi na mali zao kwa wengi hutegemea ziwa victoria.

"Tutajitahidi idara ya Uvuvi na Mkuu wa idara ya Kilimo wapate simu ifikapo tarehe 1.12 ili kupata taarifa za hali ya hewa kila siku na kuziwasilisha kwenye mamlaka  mbalimbali hii itapelekea kupunguza maafa,"alisema Mongella.

"Swala la kutambua hali ya hewa ni muhimu zaidi TMA muone umuhimu wa kuhusisha viongozi ngazi ya chini ili wafikishe kwa wananchi,wale watu wakipewa uelewa wa kawaida utawasaidia kujiepusha na majanga,

"Tunachangamoto nyingi katika ziwa letu hivyo kwa kuwalenga wavuvi itasaidia kupunguza madhara yanayojitokeza kutokana na kutopata taarifa za hali ya hewa,"alisema Mongella.

Naye Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya hewa (TMA)Dkt. Agness Kijazi       amesema ni vizuri kufuatilia utabiri wa hali ya hewa unaoyolewa kwa masaa kwa sababu hali ya hewa hubadirika mara kwa mara hasa  kwa wale walio karibu ya  ziwa na bahari.


"Hali ya hewa hasa maeneo ya maziwa hubadirika mara kwa mara hivyo niombe mfatilie sana ili hali inapobadirika mnakuwa na taarifa sahihi,hii itawasaidia kuendelea na shughulia au kuacha hadi hali itakapobadilika, aliaema Dkt.Agness.


Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema Boniphace M.Mafuru amesema TMA imewasaidia sana  kwani majanga mbalimbali yamepungua kwa kupata taarifa za mamalaka na kupashana Habari.

"Changamoto tunayoipata tuna simu 1 na tuna jumla ya vikundi 33 hivyo inakuwa ngumu kwa kutumia simu 1 tu kwa makundi yote", alisema Mafuru.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WA HABARI MWANZA WAPIGWA MSASA MIKAKATI YA KUTOKOMEZA WATOTO WA MITAANI

    May 29, 2025
  • RAS MWANZA AWATAKA VIONGOZI WA UMMA KUDUMISHA NIDHAMU NA UFANISI KAZINI

    May 26, 2025
  • FAMILIA NI NGUZO IMARA KATIKA KULINDA MAKUZI YA MTOTO: DKT. BITEKO

    May 24, 2025
  • RC MTANDA AIPONGEZA BENKI YA NCBA KWA KUWAENZI WATEJA WAKE

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.