• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

ENG. CHAGU AMTAKA MKANDARASI UJENZI HOSPITALI UKEREWE KUEPUSHA GHARAMA ZINAZOEPUKIKA

Posted on: March 15th, 2025

ENG. CHAGU AMTAKA MKANDARASI UJENZI HOSPITALI UKEREWE KUEPUSHA GHARAMA ZINAZOEPUKIKA


Katibu Tawala Msaidizi sehemu ya Miundombinu Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Chagu Ng'oma amemtaka mkandarasi (Dimetoclasa Real Hope LTD) anayejenga mradi wa hospitali yenye hadhi ya Mkoa wilayani Ukerewe kuepuka gharama zinazoepukika katika utekelezaji wa mradi.

Mhandisi Chagu ametoa agizo hilo mapema leo jumamosi tarehe 15 Machi, 2025 akiwa katika kikao kazi cha tatu cha ufuatiliaji wa utekelezaji wa mradi huo kilichofanyika katika eneo inapojengwa hospitali hiyo katika kijiji cha Bulamba - Nansio wilayani Ukerewe.

Amesema, vitako vya nguzo katika kuandaa msingi ni lazima kwanza wafanye marekebisho madogo kwa maeneo yenye ardhi ngumu inayohusisha mawe kwa kutochimba na kuharibu miamba ili kupunguza gharama za ongezeko la fedha kwa siku za usoni.

"Mkandarasi tangia tarehe 13 Machi, 2025 umeshapewa fedha za awali zaidi ya shilingi Bilioni 3.7 kwa sasa kazi yako ni kuongeza watenda kazi ili ujenzi uende kwa kasi tunayotaka na hadi juni umalize hatua ya msingi." Mhandisi Chagu.

Aidha, ameongeza kuwa huduma za umeme na maji ziko mbioni kufika kwenye eneo hilo kwa ushirikiano baina ya Mkandarasi, msimamizi wa mradi na mamlaka husika ambapo fedha za kulipia kufikisha mtandao zimeshapatikana.

Mganga Mkuu wa Mkoa huo Dkt. Jesca Lebba ameongeza kuwa idara ya afya ambao ndio wenye mradi wanatamani ujenzi ukamilike kwa wakati sahihi kwa mujibu wa mkataba ili huduma za kibingwa na bobezi zianze kutolewa kwa wananchi wa visiwani humo.

Naye, Mhandisi John Bhoke kutoka kwa Mkandarasi amebainisha kuwa ujenzi umeanza kwa kasi na majengo yote yatakwenda kwa pamoja kwani tayari maeneo yanayohitajika kuchimbwa kwa ajili ya ujenzi wa msingi kazi hiyo imefanyika.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.