• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Halmashauri zetu zijengewe uwezo ili ziweze kujitegemea kifedha na kimapato : RAS Balandya

Posted on: November 8th, 2023

Halmashauri zetu zijengewe uwezo ili ziweze kujitegemea kifedha na kimapato : RAS Balandya


Leo Novemba 8,2023 Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ndg.Balandya Elikana amefungua mafunzo ya mwongozo wa uanzishwaji na usimamizi wa Kampuni mahsusi za uendeshaji wa miradi ya vitega uchumi kwenye mamlaka za Serikali za mitaa na kushauri Halmashauri ziendelee kujengewa uwezo ili ziweze kujisimamia na kuondokana na kupata ruzuku kutoka Serikali kuu.

Akizungumza na washiriki wa mafunzo hayo kutoka baadhi ya mikoa ya Tanzania Bara kwenye ukumbi wa mikutano Gold Crest Mtendaji huyo wa Mkoa amebainisha kuws zipo baadhi ya Halmashauri zinakusanya mapato ya zaidi ya Shs bilioni 20 kwa mwaka hivyo zikipatiwa mafunzo namna ya kubuni na kusimamia miradi kwa weledi zitapiga hatua zaidi ya kimapato.

"Pamoja na sera, sheria na miongozo mbalimbali bado mamlaka za Serikali za mitaa zinapata changamoto ya uendeshaji na usimamizi wa miradi ya kiuchumi ikiwemo kuingiliwa kisasa, uzoefu mdogo wa watumishi na mapugufu katika usimamizi wa fedha na kusababisha kutofikiwa kwa malengo ya miradi na vitega uchumi husika," Balandya.

Aidha, ameipongeza Ofisi ya Rais TAMISEMI, Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo ya Mitaji UNCDF kwa kuona umuhimu wa kuandaa mwongozo wa Kitaifa wa uanzishwaji na usimamizi wa Kampuni mahsusi za kuendesha na kusimamia miradi ya vitega uchumi vya Halmashauri.

"Ndugu mgeni rasmi Ofisi ya Rais,Tamisemi na Wizara ya Fedha pamoja na wenzetu washirika wa maendeleo UNCDF tunatarajia kupata matokeo yenye tija baada ya mafunzo haya ambayo nia yake ni kuhakikisha miradi yote ndani ya Halmashauri zetu hapa nchini inakuwa na tija na hatimaye kuleta maendeleo kwa wananchi wetu,"Johnson Nyangi,Mkurugenzi Ofisi ya Rais,Tamisemi Uratibu wa Mikoa.

Amesema pamoja na hayo Serikali kwa kushirikiana na UNCDF pia imetoa mwongozo wa namna ya kuandaa miradi ya uwekezaji ya kuzalisha mapato lengo likiwa ni kuziwezesha mamlaka za Serikali za mitaa kuandaa maandiko ya miradi itakayokidhi mahitaji ya kupata fedha kutoka vyanzo mbadala ikiwemo benki na hatifungani.

Mafunzo hayo ya siku nne yamewashirikisha wakuu wa Idara za mipango na uchumi kutoka baadhi ya Halmashauri za mikoa ya Mwanza,Tanga,Kigoma na Dodoma.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.