• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

HUDUMA ZA MSAADA WA KISHERIA KUTOLEWA KWENYE MAGEREZA MWANZA

Posted on: September 22nd, 2025

Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Bw. Balandya Elikana leo Septemba 22, 2025 amepokea ugeni kutoka wizara ya Katiba na Sheria waliofika mkoani humo kwa ziara ya siku mbili ya kutoa huduma za msaada wa kisheria katika Magereza.

Akiongea na ugeni huo katika kikao kifupi cha kujitambulisha ofisini kwake Bw. Balandya amewakaribisha na kuwatakia kheri katika jukumu hilo muhimu na amewaahidi ushirikiano wakati wote watapokua Mwanza.

Kadhalika, amewasihi kusaidia kupunguza msongamano wa wafungwa na maabusu katika magereza kwa kutimiza wajibu wa kutoa dira ya nini kifanyike kisheria hususani wakati wa upelelezi kuelekea kwenye mwenendo wa kesi.

Kiongozi wa timu hiyo, Mkurugenzi Msaidizi wa huduma za Msaada wa Kisheria Bw. Osborn Paiss amesema watakuwepo Mkoani Mwanza kwa siku mbili kwa ajili ya kutoa huduma za Msaada wa kisheria katika magereza ya Butimba, Sengerema na Ukerewe.

Aidha, aeongeza kuwa wizara ya katiba na sheria ipo kwenye ziara ya kutoa huduma za msaada wa kisheria hususani katika magereza yaliyopo katika mikoa ya kanda ya ziwa ambapo wameanza kutekeleza jukumu hilo mkoani Mwanza.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MTANDA ATOA UFAFANUZI JUU YA CHANGAMOTO YA MAJI

    September 23, 2025
  • HUDUMA ZA MSAADA WA KISHERIA KUTOLEWA KWENYE MAGEREZA MWANZA

    September 22, 2025
  • RAS BALANDYA ATOA WITO KWA JESHI LA POLISI KULINDA AMANI KATIKA UCHAGUZI MKUU

    September 22, 2025
  • RC MTANDA ASHUHUDIA SAFARI YA KWANZA YA MV NEW MWANZA KWENDA BUKOBA

    September 21, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.