• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji lapewa Rai kuwa bora na linalokwenda na wakati

Posted on: May 8th, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Adam Malima amesema wanapenda kuona Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoani humo  linakua kinara katika utoaji wa huduma ili Mikoa mingine ijifunze kutoka kwao.


Mhe. Malima amesema hayo leo Mei 8 2023 kwenye kikao na Kamishina Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji CGF. John Masunga alipotembelea Ofisi ya Mkuu wa Mkoa  na kuzungumza na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoani humo katika kumbi za Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.


"Sisi tunatarajia kuwa na uwanja mkubwa na wa kisasa wa ndege hivyo ni matarajio yetu kuwa na huduma bora za kisasa kutoka Jeshi la Zimamoto na Uokoaji  ili na Mikoa mingine itoke ije ikujifunza kwetu," Amesema Mhe. Malina


Pia Mhe. Malima amemkaribisha Mkuu huyo wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji siku atakazokuwa Mwanza atembelee baadhi ya visiwa Ziwani Victoria vilivyo na shughuli za kijamii lakini hazina huduma hiyo, hivyo kuwa katika mazingira hatarishi  endapo litatokea janga la moto.

"Kuna kisiwa cha Ghana hicho kina kila aina ya starehe na wingi wa watu,lakini ikitokea bahati mbaya janga la moto uwezekano wa kuteketea watu na mali zao ni mkubwa,hivyo naamini ukipata wasaa huo utaona namna ya kuja na jibu chanya"Mkuu wa Mkoa.


Aidha CGF. John Masunga amemuahidi Mkuu wa Mkoa Kumletea gari la kisasa la kutoa hiduma hiyo na uwepo wa  kikosi maalumu cha uokoji majini ambacho kwa sasa kipo katika mafunzo.

" Tukuhakikishie kwamba jeshi la polisi  la Mkoa wa Mwanza linafanya kazi kwa ushirikiano  na jeshi la zimamoto  na uokoaji kuhakikisha kwamba tunalinda maisha ya watu,"Amesema RPC. Mutafungwa


Kikao hicho kimewahusisha wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama na Mhe. Dkt. Steven Kiruswa, Naibu waziri wa Madini kama mgeni mwalikwa.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.