• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

KASI YA UPANDAJI MITI NCHINI IONGEZEKE ILI KUNUSURU UHARIBIFU WA MAZINGIRA: NAIBU WAZIRI MAZINGIRA

Posted on: May 2nd, 2024

KASI YA UPANDAJI MITI NCHINI IONGEZEKE ILI KUNUSURU UHARIBIFU WA MAZINGIRA: NAIBU WAZIRI MAZINGIRA


Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Khamis Hamza leo Mei 2, 2024 amezindua kongamano la uhamasishaji wa utunzaji wa mazingira lililofanyika kwenye Hotel ya Adden na kuhimiza kasi ya utunzaji wa mazingira iongezeke maeneo yote hapa nchini.

Akizungumza na washiriki wa kongamano hilo lililopewa jina la Jukwaa la Uwakili lililoandaliwa na Taasisi ya DanMission chini ya Kanisa la KKKT, Naibu Waziri huyo amebainisha bado kuna changamoto kubwa ya uharibifu wa mazingira nchini licha ya jitihada zinazofanywa na Serikali kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo.

"Nakupongeza sana Askofu Dr. Alex Malasusa kwa kuanzisha mpango huu,ni dhahiri umeonesha kwa vitendo jitihada za Rais Samia za ulindaji na utunzaji mazingira," Naibu Waziri.

Amesema wananchi sasa ni lazima waelimishwe utumiaji wa nishati mbadala badala ya mkaa au kuni na faida za utunzaji mazingira na vyanzo vya maji

Akitoa taarifa fupi ya Mkoa wa Mwanza,Mkuu wa Mkoa huo Mhe.Said Mtanda amesema mkakati wa kuhakikisha mkoa huo unakuwa wa kijani unaendelea kwa upandaji miti kwa wingi na utoaji wa elimu kwa wananchi.

"Mhe.Naibu Waziri hadi sasa Mkoa wa Mwanza umepanda miti zaidi ya milioni 7 na tunaendelea kuhamasisha utunzaji wa mazingira na kulinda vyanzo vya maji",Mkuu wa Mkoa

Askofu wa Kanisa la Kilutheri KKKT Dr.Alex Malasusa amesema Taasisi ya DanMission inafanya shughuli hizo nchi nzima ikiwashirikisha pia viongozi wa dini ambao wanaoongoza kundi kubwa la waumini.

Wakati huo huo Mhe Mtanda leo amekutana na kufanya mazungumzo mafupi Ofisini kwake na Balozi wa Tanzania nchini Brazil Mhe.Prof.Adilous Kilangi,mazungumzo hayo yamehimiza kushirikiano kwenye sekta mbalimbali ikiwemo michezo na utamaduni.

"Mhe.Balozi tunatambua Taifa la Brazil lilivyopiga hatua katika soka,mkakati wetu ni timu yetu ya Pamba Jiji FC iende huko kufanya maandalizi ya ligi kuu msimu ujao na ututafutie timu bora ya kujipima nayo ubavu," Mkuu wa Mkoa.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.