• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

MAAFISA UANDIKISHAJI MWANZA WATAKIWA KUSIMAMIA UBORESHAJI WA DAFTARI KWA WELEDI

Posted on: August 10th, 2024

MAAFISA UANDIKISHAJI MWANZA WATAKIWA KUSIMAMIA UBORESHAJI WA DAFTARI KWA WELEDI


Mwenyekiti wa Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Jaji Jacobs Mwambegele amewataka Maafisa Uandikishaji watakaohusika kwenye uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kusimamia zoezi hilo kwa weledi ili kuleta ufanisi.

Jaji Mwambegele amesema katika kufanikisha zoezi la uboreshaji wa daftari hilo ni lazima kufuata sheria za tume huru ya uchaguzi mathalani zinazosimamia uandikishaji wa wanachama wapya na uboreshaji wa taarifa kwa wanachama waliokuwepo na si vinginevyo.

Jaji huyo wa Mahakama ya Rufaa ametoa rai hiyo mapema leo Agosti 10, 2024 wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku mbili kwa watendaji ngazi ya mkoa kuhusu uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura yanayofanyika katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa.

"Ni muhimu kuyaekeleza majukumu yenu kwa umakini hususani kwenye utunzaji wa vifaa ambavyo vimenunuliwa kwa gharama kubwa sana na vitatumika katika maeneo yote ya uboreshaji nchini hivyo ni lazima tukashirikiane kwenye hilo". Amesema Jaji Mwambegele.

Vilevile, amefafanua kuwa mafunzo hayo yatahusisha ujazaji wa fomu mbalimbali za kujiandikisha pamoja na matumizi ya vifaa vya bayometriki na kwa pamoja yatawapa uwezo wa kwenda kusimamia zoezi hilo katika ngazi za kata na uboreshaji kwa ujumla.

Awali, Hakimu Mkazi Mwandamizi kitoka Wilaya ya Ilemela Christian Mwalimu aliwaapisha maafisa uandikishaji wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura ambao kwa pamoja waliapa kutunza siri pamoja na kiapo cha kujitoa kwenye vyama vya siasa.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.