• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

MADIWANI SIMAMIENI KWA WELEDI HALMASHAURI YA UKEREWE-RC MAKALLA

Posted on: June 24th, 2023

MADIWANI SIMAMIENI KWA WELEDI HALMASHAURI YA UKEREWE-RC MAKALLA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,Mhe.CPA Amos MAKALLA amewataka Madiwani wa Halmashauri ya Ukerewe kusimamia kwa Weledi majukumu yao yote ikiwemo changamoto ya ufaulu wa wanafunzi.

Akizungumza kwa niaba yake leo wakati wa kujadili hoja za Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali za Juni 30 2021-22,Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ndg.Balandya Elikana amesema wawakilishi hao wa wananchi wanapaswa kutambua wanakuwa chanzo cha kuwapigania maendeleo wananchi wao,hivyo changamoto zote wahakikishe zinapatiwa ufumbuzi.

"Kutokana na Jiographia ya Kisiwa cha Ukerewe na asili ya shughuli za kujipatia kipato baadhi ya wazazi hawana muda wa malezi bora ya watoto wao,hali ambayo imechangia ufaulu hafifu",amesisitiza Mtendaji huyo wa Mkoa.

Aidha ameupongeza uongozi wa Halmashauri hiyo kwa kushirikiana na Madiwani hao kupunguza hoja za CAG kutoka 19 hadi kubaki 8.

"Tujitahidi kutokuwa na hoja nyingi na badala yake tufanye kazi kwa bidii kwa kufuatwa miongozo na kuepuka uzembe ambao kwa kiasi kikubwa unachangia kuwepo na hoja hizo",Balandya.

Mbunge wa Jimbo la Ukerewe,Mhe.Josephat Mkundi ameshauri kuwepo na mkazo wa elimu kwa wananchi hasa kutokana na aina ya malezi yasiyo na tija kwa watoto wao.

"Ndugu Mwenyekiti wa kikao hiki changamoto nyingine ni uhaba wa chakula shuleni hii nayo ipewe kipaumbele ili wanafunzi watulie na kusoma vizuri",Mhe.Mkundi.

"Mwenyekiti wa kikao tunashukuru kwa maelekezo yako na kuahidi kuyafanyia kazi,tuna ushirikiano mzuri na Waheshimiwa Madiwani katika kuwaletea maendeleo wananchi",Emnanuel Shelembi,Mkurugenzi H/ya Ukerewe.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.