Swahili
  • English
  • Swahili
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Makampuni ya bima Yakusanya bil.30 kwa Mwaka

Posted on: June 27th, 2019

Zaidi ya Sh30 billion zinakusanywa kwa mwaka na makampuni 18 ya bima kwenye mikoa saba ya kanda ya Ziwa.

Hayo yalisemwa na Meneja wa Mamlaka ya Bima Kanda ya Ziwa (Tira)Sharif Hamad aliyemuwakilisha Kamishna wa Bima Dkt. Mussa Juma kwenye maadhimisho ya siku ya Bima Kanda ya Ziwa, ambapo aliitaja Mikoa hiyo ni  Mkoa wa Mwanza, Geita, Shinyanga, Simiyu, Mara, Kigoma na Kagera.

Alisema, kwa kanda ya ziwa wana madalali 8 na mawakala 75 ambao wanatoa huduma na kuhakikisha bima zinapatikana kwa wananchi mijini na vijijini.

“Katika kulinda maslahi ya watumiaji wa huduma za bima, tumeanzisha ofisi ya msuluhishi wa migogoro ya bima ambayo kazi yake ni kutatua migogoro ya baina ya makampuni na wateja wa bima, badala ya wateja kuyafikisha malalamiko yao mahakamani tukaona kuna haja ya kuanzisha ofisi hiyo”alisema Hamad

Naye Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana dk Philis Nyimbi aliyemuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella aliyataka makampuni hayo kulipa fidia kwa wateja waliopata majanga kwa wakati na sio kuwazungusha.


Alisema wilayani Nyamagana kulitokea majanga ya moto Soko la Mlango mmoja, Buhongwa na kituo cha mafuta cha Moil ambayo yanafundisha mwananchi kukata bima kuna punguza makali pale majanga ya namna hiyo yanapotokea.

Mmoja wa washiriki wa maadhimisho hayo ambaye ni Meneja wa kampuni ya bima ya Britam Kanda ya Ziwa, Said Kadabi alisema kutokana na mfumo mpya wa kuhifadhi taarifa za bima kwa njia za kielektronik (Tira Mis) askari wa usalama barabarani wasiwe wakali kupitiliza pale wanapofanya ukaguzi kwenye magari mfumo ukiwambia bima ni yakugushi kwakuwa mfumo bado haujakaa sawa bali .

“Tumeshatoa malalamiko yetu kwa Tira yanafanyiwa kazi, niwasihi jeshi la polisi liweze kuliangalia hilo na serikali iandae makongamano ili kuwafahamisha watu umuhimu wa bima”alisema Kadab.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.