• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Makamu wa Rais Dkt.Mpango ahimiza Uwekezwaji maeneo ya Fukwe nchini

Posted on: November 23rd, 2022


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Dkt.Philip Mpango amewataka wawekezaji kuchangamkia fursa zilizopo kwenye Fukwe zilizopo nchini ili kukuza Utalii na Uchumi kwa ujumla.


Akifungua leo Kongamano la kudhibiti Fukwe linalofanyika Mkoani Mwanza,Mhe Mpango amesema nchi ya Tanzania imebarikiwa kuwa na Bahari,Maziwa na Mito yenye Fukwe nzuri ambazo zinahitaji uwekezaji wa kisasa utakaochangia pato la Taifa.

"Nina Imani Jukwaa hili la kongamano litakuja na majibu chanya yenye tija kwa Taifa letu kwani nimesikiliza taarifa za utangulizi za kitaalamu zinazohusu fukwe zetu na mazingira kwa ujumla zimenipa matumaini"amesema Dkt. Mpango

Katika hotuba yake Dkt.Mpango ametoa maelekezo kwa wakuu wa Mikoa wote kwa kushirikiana na Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira kuweka mikakati endelevu kwenye fukwe zilizopo kwenye maeneo yao ikiwemo kutatua changamoto zote zinazorudisha nyuma uendekezwaji wake.

"Hapa niseme ukweli bado sijaridhishwa Mikoa kama Dar-es-a-Salaam,Tanga,Lindi,Mwanza na Zanzibar bado inakabiliwa na changamoto ya kuendeleza fukwe zake,utumiaji wa shughuli nyingi zisizo stahili kandoni mwa fukwe zetu umeshamiri ukiwemo uvuvi haramu wa kutumia baruti,sasa mpo hapa wataalamu muone muarobaini wa kulimaliza tatizo hili"amesisitiza Makamu wa Rais Mhe.Mpango.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Mara ambaye leo amekaimu nafasi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.Meja Generali Suleiman Mzee amesema Mkoa huo una jumla ya fukwe 31 ambapo mwaka 2021-22 zilitembelewa na watu 11,280 na 2022-23 walitembelea zaidi ya watu elfu tano

"Wizara ya Maliasili na Utalii imeendelea kuyafanyia kazi maelekezo yako Mhe.Makamu wa Rais ikiwemo usimamizi wa mazingira hasa suala la ukataji miti ovyo ili iwe vyanzo imara vya maji"Mhe.Merry Masanja Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii.

Akizungumzia faida za fukwe Prof.Ally Makaya ametokea mfano nchi ya Afrika Kusini imekuwa ikipata faida kila mwaka kutokana na uwekezaji wake ktk eneo hilo ikijikusanyia Randi bilioni 9.3.

Kongamano hilo linalofanyika kila mwaka limebeba kauli mbiu ya Usimamizi madhubuti wa Fukwe kwa Maendeleo nchini Tanzania.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.