• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Makamu wa Rais Mhe.Dkt Philip Mpango kufanya ziara ya kikazi siku 3 Mwanza

Posted on: September 10th, 2022

*Dkt. Mpango kufanya ziara ya kikazi Mwanza kwa siku tatu*


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Adam Kighoma Malima anawakaribisha wananchi wote wa Mwanza na Mikoa ya Jirani kumpokea na kumlaki Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Philip Isdor Mpango anayetarajia kuwasili siku ya Jumatatu tarehe 12/09/2022 majira ya saa 9 alasiri.

Amesema hayo mapema leo kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa alipokua akizungumza na waandishi wa Habari kufuatia ugeni huo Mkubwa wa Kitaifa kwa ziara ya kikazi ya siku 3 Mkoani humo.

"Naomba wakaazi wa Mwanza tuoneshe Uzalendo mkubwa kwa kumpokea mgeni wetu tukiishukuru Serikali kwa kazi kubwa ya kuwaletea Maendeleo wananchi na kwenye hilo naomba tujitokeze kwa wingi kwenye kumlaki kandokando ya barabara kuanzia Airport, Pasiansi, Rock City na maeneo yote ya miradi ambayo Mhe. Makamu wa Rais atakagua." Amesema Malima.

Mhe Malima amesema mnamo tarehe 13/09/2022 Makamu wa Rais atazindua jengo la huduma za Kansa kwenye Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando na baadae kwenye siku hiyohiyo ataelekea kwenye Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Sekou Toure ambapo atazindua Huduma za Mama na Mtoto kwenye jengo Maalum la Kisasa.

Aidha, ndani ya Siku ya tarehe 13, 09, 2022 Mhe Makamu wa Rais atazindua Stendi ya Kisasa ya Mabasi na maegesho ya malori Nyamhongolo ambayo inakuja kumaliza tatizo la msongamano wa magari na kusaidia kuongeza mapato kwenye Halmashauri ya Ilemela kwani inakusudia kukusanya zaidi ya Bilioni 2 kwa mwaka.

Vilevile, Mhe Malima amesema siku ya Tarehe 14/09/2022Mhe. Makamu wa Rais ataweka Jiwe la Msingi katika mradi wa ujenzi wa Chanzo cha Maji Butimba ambao unatarajiwa kuzalisha lita milioni 48 kwa siku na kwamba uwekezaji huo wa zaidi ya Bilioni 70 utasaidia  kupunguza uhaba wa maji kwa wakazi wa Mkoa wa Mwanza na maeneo ya jirani.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA SEKTA BINAFSI MWANZA

    May 10, 2025
  • SERIKALI KUNUNUA MTAMBO RASMI WA KUSAFISHA ZIWA VICTORIA

    May 10, 2025
  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.