• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

MAONI YA WADAU KUIMARISHA SEKTA YA USAFIRI WA MAJINI

Posted on: January 15th, 2026

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Bw. Daniel Machunda leo Januari 15, 2025 amefungua kikao kazi cha kupokea maoni ya wadau kuhusu utafiti wa sekta ndogo ya usafiri wa majini kilichofanyika katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa na kuwakutanisha wadau kutoka mikoa inayozungukwa na maziwa, bahari na mito.

Bw. Machunda amesema serikali imejipanga kikamilifu kuyafanyia kazi maoni yatakayokusanywa ili kuboresha usalama, ufanisi na mchango wa sekta ya usafiri wa majini katika kukuza uchumi wa taifa, akisisitiza kuwa rasilimali za maji ya ndani na bahari ni miongoni mwa nguzo muhimu za ongezeko la pato la taifa.

Ameongeza kwa kusisitiza kuwa Kikao kazi hicho ni sehemu ya mkakati wa serikali wa kuhakikisha sekta ya usafiri wa majini na uchumi wa buluu vinakuwa chachu ya maendeleo ya kijamii na kiuchumi nchini.

Akizungumza katika kikao hicho, Mwakilishi wa Wizara ya Uchukuzi, Bw. Johnson Laizer, amepongeza uongozi wa Mkoa wa Mwanza kwa kuweka mazingira wezeshi yatakayohakikisha maoni ya wadau yanapatikana kwa uwazi na ushirikishwaji mpana.

Aidha amesema sekta ya uchumi wa buluu inagusa maisha ya wananchi wa hali zote, kuanzia wavuvi, wafanyabiashara, wasafirishaji hadi watumiaji wa huduma za usafiri wa majini, na kwamba maendeleo ya sekta hiyo yana mchango mkubwa katika kuinua uchumi wa jamii na taifa kwa ujumla.

Nao wadau walioshiriki kikao hicho wameeleza kuwa ukusanyaji wa maoni ya nchi nzima utasaidia kuboresha sera, sheria na mikakati itakayochochea maendeleo endelevu ya sekta ya usafiri wa majini.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI SAHWA -MWANZA

    January 23, 2026
  • SERIKALI YA AWAMU YA SITA INAJALI MAISHA YA WANANCHI WAKE - WAZIRI MKUU

    January 23, 2026
  • WAZIRI MKUU ATUA MWANZA KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MOJA

    January 23, 2026
  • WAZIRI MKUU KUZINDUA MELI YA KISASA MWANZA KESHO

    January 22, 2026
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.