• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Mhe.Majaliwa aahidi kujengwa Kituo Cha afya Kisiwa Cha Irugwa Ukerewe

Posted on: September 25th, 2020

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Waziri Mkuu,Mhe. Kassim Majaliwa amewaahidi Wananchi wa Kisiwa cha Irugwa kituo cha afya,boti,kivuko na kuboresha huduma za jamii ,shule za msingi na sekondari.

Alitoa ahadi hiyo leo  kwenye Mkutano wa kampeni akiwoambea kura mgombea Urais wa CCM. Mhe.Dkt. John Magufuli, uliofanyika katika Kijiji Cha  Nabweko kisiwani Irugwa,wilayani Ukerewe.

Akihutubia umati wa wananchi wa kisiwa hicho, Mhe.Majaliwa amesema hawana budi kuichagua Serikali ya CCM iendelee kuleta maendeleo, kutatua changamoto zao na kuwahudumia kwa dhati.

Alisema wote ni mashahidi kazi za maendeleo zilizofanywa na serikali kwa miaka mitano zinaakisi maisha ya Watanzania wote na ndiyo maana anamwombea kura Mhe.Rais Dkt. Magufuli, amejipanga kuwatumikia kwa kipindi cha miaka mitano mingine ili malengo yaweze kufikiwa.

“ Nchi hii inahataji kupata kiongozi mwenye dhamira ya wazi ya kutunza amani,hayo maendeleo mnayoyaona ni matokeo ya uadilifu wa ukusanyaji wa kodi  na kuisimamia ili itumike kupunguza matatizo ya wananchi,kazi iliyofanywa kwa uadilifu na Dkt. Magufuli,”alisema  Mhe. Majaliwa.

Alisema kuwa kisiwa cha Irungwa na wilaya ya Ukerewe ya changamoto ya huduma za afya, hivyo baada ya uchaguzi na Rais akishaapishwa atahakikisha kituo cha kwanza cha afya kujengwa Ukerewe ni Irungwa ili kuwasogezea huduma, kuwaondolea wananchi adha ya kuzifuata jijini Mwanza.

Mjumbe huyo wa Kamati Kuu alisema kwa ukubwa wa kata ya Irugwa kinahitajika kituo cha afya ili wagonjwa wenye matatizo ya kiafya wapate huduma karibu, nje ya hapo ni gharama na watu kupoteza maisha.  

“Nataka niwambie, tumejenga zahanati 1,498 vijijini na vituo cha afya 498 nchi nzima hapa Ukerewe vitatu (Muriti, Kagunguli kwa zaidi ya sh. bilioni 1,ili kuwapunguzia umbali na gharama za usafiri na kutumia mitumbwi kufuata huduma, Mkundi aje kuchukua fedha za vituo vya Ukerewe na cha kwanza kujengwa ni Irugwa.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.