• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

MICHUANO YA SHIMIWI,RAS MWANZA YAFUNGUA DIMBA KWA USHINDI

Posted on: September 24th, 2024

MICHUANO YA SHIMIWI,RAS MWANZA YAFUNGUA DIMBA KWA USHINDI


Timu ya RAS Mwanza ya mpira wa pete imefungua Dimba kwa ushindi wa magoli 27-4 dhidi ya Bodi ya Pamba  michuano ya  michezo ya wizara na idara za Serikali,SHIMIWI inayoendelea kwenye uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro.

Mwiba mkali katika mchezo huo alikuwa ni mchezaji Winfrida Martin kutoka Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira,MWAUWASA aliyepachika magoli 26 na kuwapa wakati mgumu wapinzani wao muda wote wa mchezo na kuwalaza na viatu mara baada ya mchezo huo.


Msimamizi wa mazoezi wa timu hiyo Veronica Mponzi amebainisha licha ya muda mchache wa maandalizi lakini anajivunia ubora wa wachezaji wake na wenye uzoefu na michuano hiyo.

Hata hivyo katika mchezo wa pili dhidi ya Haki za binadamu timu hiyo kutoka Mwanza ilifungwa kwa mbinde magoli  22-17 kabla ya jana kutambiwa na timu ya Bunge Sports magoli 54-10


"Huu ni mchezo wa pili tumepoteza, wapinzani wetu walitumia vizuri nafasi walizopata,tumejipanga vizuri kuhakikisha mchezo unaofuata dhidi ya Wizara ya Elimu tunawafanyia Ubaya Ubwela na kutoka na ushindi mzito",amejinasibu Mponzi

Kiongozi wa msafara wa timu ya RAS Mwanza ambaye pia ni beki katili mstaafu, Denis Kashaija amebainisha wachezaji wote wapo vizuri na timu ya wanaume kwa upande wa mchezo wa riadha itashuka kufukuzana na upepo Septemba 26 mbio za mitaa 400

Timu hiyo kutoka Mwanza inashiriki michezo ya mpira wa pete,riadha,vishale,draft pamoja na michezo ya jadi karata na bao na imeanza Septemba 18,2024. na itahitimishwa Oktoba 5,2024

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.