• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Mifumo ya TEHAMA yaboresha utendaji wa Mashauri Mahakamani

Posted on: February 1st, 2021

Mahakama kuu Kanda ya Mwanza yafanikiwa kusikiliza mashauri 656 kwa mwaka 2020 kwa njia ya mtandao ikiwa ni mashauri mengi zaidi katika kipindi cha dhoruba la covid 19.

Akizungumza katika kilele cha siku ya sheria Nchini kilichofanyika kwenye viwanja vya  Mahakama kuu Kanda ya Mwanza Jaji Mfawidhi Mahakama kuu Kanda ya Mwanza Mhe.Jaji Sam Rumanyika amesema ukamilishaji wa mashauri hayo umefanikiwa kutokana na ubora wa utendaji kazi wa kila mtumishi.

"Mifumo yote hii imejengwa na kuendeshwa na watumishi wa Mahakama kwa umiliki wa asilimia miamoja"alisema Mhe.Jaji Rumanyika.

Aidha,aliongeza kuwa ili kuhakikisha huduma inawafikia wananchi Mahakama ilianzisha Mahakama inayotembea ambapo kwa Mwanza inatoa huduma kwenye vituo vya Buhongwa,Igoma na Buswelu na kuwataka Halmashauri za Jiji(Nyamagana na Ilemela) kutosita wakati wowote wa kazi kutoa taarifa pale wanapohitaji huduma hii maalum hasa kwenye mashauri ya operesheni za uvuvi na uwindaji haramu.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mhe.Dkt.Severine Lalika akiongea kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella amesema Tekinolojia ya TEHAMA imerahisisha utendaji wa Mahakama.

" Mifumo ya Mitandao ya Mahakama imeboresha huduma za upatikanaji wa Nakala za hukumu na malipo ya ada za mashauri mbalimbali,"alisema Dkt.Lalika.

Naye,Mhe.Jackson Bulashi Mwanasheria wa Serikali akimwakilisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali Prof.Adelardus Kilangi amesema Serikali ilitambua kuwa mifumo ya utoaji hali tuliyorithi kutoka kwa wakoloni haikuweza kuendana na kasi ya maendeleo ya jamii huru ya Kitanzania kisiasa,kiuchumi na kiutamaduni.

"Hii ilipelekea Serikali kuteua kamisheni maalumu ambayo ilijikita katika maboresho ya mfumo wa mahakama,"alisema Mhe.Bulashi.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.