• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Mkoa wa Mwanza kubuni mbinu za kuongeza mapato

Posted on: December 19th, 2017

Afisa Biashara wa Mkoa Yesaya Sikindene ameongoza  kikao Kazi  cha pili cha Maafisa Biashara Mkoa wa Mwanza kilichofanyika katika Halmashauri ya Buchosa, ambacho pamoja na mambo mengine kilijadili vyanzo vyote vya mapato vilivyo chini ya kitengo cha biashara na kujadiliana njia na mbinu mbalimbali za kuongeza mapato katika Halmashauri za Mkoa wa Mwanza.

Akiongea katika Kiakao hicho Afisa Biashara wa Mkoa Yesaya Sikindene amesema Vitengo vya biashara katika Halmashauri za Mkoa wa Mwanza hukusanya mapato mbalimbali yatokanayo na ada za Leseni za biashara, ushuru wa Hoteli, leseni za vileo, Vizimba na masoko, pikipiki na bajaji pamoja na adhabu na faini ambazo hutozwa kwa wafanyabiashara wanaokiuka sheria ya leseni za biashara kwa mujibu wa sheria Na. 25 ya Mwaka 1972 pamoja na marekebisho yake.

Kwa Mwaka wa fedha 2016/17 jumla ya bajeti ya vitengo vya biashara katika Halmashauri zote ilikuwa bilioni 6.6 (6,614,426,793) na hali halisi ya makusanyo ilikuwa bilioni 5.8 (5,844,512,307) sawa na Asilimia 88 ya makisio ya bajeti.

Katika Makusanyo hayo, Halmashauri iliyoongoza kwa kukusanya zaidi ya Bajeti ni Buchosa 146%, Ilemela 115%, Jiji 85%, Misungwi 83%, Ukerewe 78%, Kwimba 69%, Magu 61%  na Halmashauri ya Sengerema ilikusanya 48% ya bajeti.

 Sikindene ameongeza kuwa Sekta ya Biashara imekumbwa na changamoto mbalimbali ikiwa ni pamoja na  Upungufu mkubwa wa Maafisa Biashara, Mkoa unapaswa kuwa na Maafisa 56 kwa mujibu wa Ikama waliopo ni 26 tu. Upungufu uliopo ni sawa na 55%.

 Vitendea kazi pia ni changamoto kubwa hasa Kompyuta, Printer, Shajala, Meza na viti pia Kukosa magari kwa ajili ya kuendesha operesheni mbalimbali mitaani/vijijini inapelekea kudorora kwa makusanyo,Urasimu na ushirikiano duni baina ya Maafisa biashara na wamiliki wa Viwanda hasa wanapotakiwa kutoa taarifa za Kila robo .

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SERIKALI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA SEKTA BINAFSI MWANZA

    May 10, 2025
  • SERIKALI KUNUNUA MTAMBO RASMI WA KUSAFISHA ZIWA VICTORIA

    May 10, 2025
  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.