• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Mongella atoa agizo Mifuko 263 ya Saruji

Posted on: April 21st, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella ametoa siku saba kurejeshwa mifuko 263 ya saruji iliyoibiwa wakati wa ujenzi wa jengo la mama na mtoto lenye usanifu wa sakafu sita unaoendelea katika hospital ya rufani ya Sekou-Toure.

Kauli hiyo aliitoa baada ya kuwepo kwa taarifa ya kuibiwa mifuko hiyo ambayo inakwamisha ukamilishaji wa ujenzi huo kwa wakati huku  baadhi ya walinzi wa  wakishikiliwa na jeshi la polisi.

Hivyo alimtaka OCD Mkoa kufatilia kwa undani suala hilo  ili wahusika wakamatwe huku wakiacha uonevu wa kuwakamata walinzi ambao yawezekana  hawakuhusika bali wanabambikiziwa kesi kwa sababu ni watu dhaifu hivyo uchunguzi ufanyike wakibainika ni wao wachukuliwe hatua.

"Hata kama ni Mkuu wa Mkoa au kiongozi yeyote amehusika akamatwe asiogopwe na kupewa kesi watu wengine ambao ukiangalia ni watu wanaotafuta ridhiki tu " alieleza Mongella .

Aidha Mongella hakurizishwa na kasi ya  ujenzi wa jengo hilo hivyo aliwagiza Wakala wa Majengo Tanzania (TBA)kuongeza juhudi ,kujenga kwa ubora kwa kuweka vifaa vilivyokidhi viwango na kukamilisha ujenzi huo .

Kwa upande wake Moses Urio Kaimu Meneja wa TBA alisema mradi huo upo katika hatua ya ukamilishaji wa kazi ikiwemo upigaji wa skimming,rangi nje ya jengo ,uufitishaji wa madirisha na uwekaji wa terazo hadi sasa unefikia asilimia 80 ya Kazi zote.

Alisema mradi huo utakapokamilika utaboresha huduma ya afya kwa wananchi hususani akina mama na watoto ,utapunguza msongamano kwa wagonjwa uliopo sasa ambapo utatoa huduma kwa vitanda 261 na utapunguza vifo vya mama na mtoto wakati wa kujifungua.


Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.