• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Mshindi wa Urithi Festival akabidhiwa zawadi ya gari

Posted on: March 5th, 2020

Mshindi wa jumla wa mashindano ya kwaya katika tamasha la Urithi wetu (Urithi Festival) Kwaya ya Mt. Benedikto ya Bugando Mkoani Mwanza wakabidhiwa zawadi  ya gari aina Toyota Nissan  Suzuri  maarufu kama  kirikuu yenye thamani ya million 30.

Aidha kwaya zilizoingia kwenye mchakato zilikuwa 26 na baada ya mchujo ulioendelea zilibaki kwaya tisa  zilizofika kwenye kilele  jijini Mwanza na kwaya ya Mt.benedikto kuibuka kidedea.

Aliongeza kuwa katika warsha hiyo mshindi wa kwanza alijinyakulia zawadi ya gari, mshindi wa pili ambaye ni kwaya ya Mt.Aloyce Gonzaga  akiondoka na zawadi ya pikipiki huku mshindi wa tatu kwaya ya Mt.Yohana Mwinjili wakipata vyombo vya mziki.



Akizungumza wakati wa kukabidhi zawadi hiyo Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangala, alisema lengo la kuanzishwa kwa tamasha hilo lililiofanyika Oktoba 31 hadi Novemba 3 mwaka jana   jijini Mwanza,ambapo kwaya hiyo iliibuka mshindi wa jumla wa mashindano hayo yenye lengo la kutambua thamani ya urithi wa mtanzania vikiwemo vyakula mila na desturi .

Alisema tamasha hilo lilianza mwaka 2018  ambapo litakuwa   linafanyika kila mwaka, litasaidia kudumisha na kukumbusha utamaduni,mila,desturi na kuhamasisha uzalendo wa nchi,hivyo aliwahimiza watanzania hususani waimbaji kuhamasisha jamii kwa kutumia nyimbo ili itambue uzalendo na kuelewa uhalisia wao na mali ambazo ni urithi wa taifa.

“Naishukuru Mamlaka ya hifadhi ya eneo la Ngorongoro kwa  kutimiza ahadi ya Serikali ya kutoa zawadi kwa mshindi wa jumla wa mashindano ya kwaya katika tamasha la urithi wetu lililofanyika jijini hapa,”alisema Dkt. Kigwangala.

Naye Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Prof. Adolf Mkenda,alisema maelekezo ya ushiriki wa kwaya katika tamasha hilo yalitolewa na kuwataka kuandaa nyimbo tatu ambazo ni wimbo wa taifa ambao ni Tanzania nchi yangu nakupenda, wimbo unaohusu utalii na wimbo wowote ambao kwaya itapenda.

Pia alitoa ombi lake kwa Wizara kuwapa nafasi ya upendeleo wakutembelea mbuga za utalii wajionee kwa macho na wasiishie katika kuimba na kuwakumbuka pindi wanapoandaa matamasha mengine.

 

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.