• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

MTAKUWAA MWANZA YAWEZESHA KUPUNGUZA WATOTO WA MTAANI KWA 50%

Posted on: January 26th, 2026

Mkoa wa Mwanza kupitia Kamati ya Mkoa ya Usimamizi wa Utekelezaji wa Mpango Kazi wa Taifa wa kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto (MTAKUWWA) awamu ya pili (2024/25- 2028/29) umefanikisha kupunguza watoto waishio na kufanya kazi Mtaani katika kwa asilimia 50 hadi sasa.

Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Idara ya Mipango na Ufuatiliaji ya Mkoa huo Bw. Henry Mwaijega wakati akifungua kikao kazi cha kamati hiyo leo Januari 26, 2026 kwa niaba ya Katibu Tawala wa Mkoa huo chenye lengo la kupitia rasimu ya kitaifa na kutengeneza ya Mkoa.

Amesema tangu kamati hiyo izinduliwe mkoani humo imefanikisha Afua mbalimbali zikiwemo za watu wenye ulemavu na kufanikisha watu wenye ualbino 200 kupata vifaa saidizi na kujikinga na jua katika halmashauri za Misungwi na Kwimba vyenye thamani ya zaidi ya Milioni 200.

Aidha, amebainisha msaada mkubwa wa kamati hiyo katika kushughulikia Ukatili ambapo zaidi ya mashauri 250 yamefanyiwa kazi zitojanazo na Ukatili wa kijinsia, kutelekeza watoto na ukatili wa kingono katika kipindi cha julai -Desemba 2025.

Ameongeza kuwa wilayani Magu kamati hiyo kwa kushirikiana na viongozi wa halmashauri wamefanikisha kujenga kituo cha kushughulikia wahanga wa kijinsia (GBV One Stop Center) ambapo ni cha pili baada ya kile cha Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Sekou Toure.

Akihitimisha hotuba yake, Bwana Mwaijega ameendelea kuipongeza Kamati hiyo kwa kuwezesha mafunzo ya wataalam wakiwepo Jeshi la Polisi, Madaktari, Maafisa Ustawivwa jamii katika halmashauri ya Sengerema na kufanikisha usimamizi Shirikishi katika halmashauri za Kwimba na Buchosa.

Awali, akitoa utangulizi Afisa Ustawi wa Jamii Mkoa huo Baraka Makona ametumia wasaa huo ku kuwapongeza Mashirika ya SOS Children Village na KIVULINI kwa kuwezesha uzinduzi wa Mpango wa Kutokomeza Ukatili kwa Wanawake na Watoto (MTAKUWWA) mwezi Julai 2025.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MTAKUWAA MWANZA YAWEZESHA KUPUNGUZA WATOTO WA MTAANI KWA 50%

    January 26, 2026
  • RC MTANDA: DHAMIRA NI MSINGI WA KUFANIKISHA SHUGHULI ZA MWENGE WA UHURU 2026

    January 26, 2026
  • NDC WAHITIMISHA ZIARA YA MAFUNZO MWANZA

    January 23, 2026
  • WAZIRI MKUU AZINDUA MELI MPYA YA MV NEW MWANZA, ATOA MAAGIZO KWA MIRADI ILIYOSIMAMA

    January 23, 2026
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.