Swahili
  • English
  • Swahili
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

RC Mongella atoa maelekezo mapokezi ya wanafunzi kidato cha sita,vyuo vya ualimu

Posted on: May 27th, 2020

Maofisa Elimu,Wakurugenzi,Wakuu wa Shule ,Wakuu wa Vyuo na maofisa mbalimbali wa mkoa wa mwanza waanza maandalizi kwa ajili ya mapokezi ya wanafunzi wa kidato cha sita na ualimu .

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mapokezi hayo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella amesema wakati huu ni wakuwa pamoja kuwasimamia watoto kwani Corona ipo lakini maisha lazima yaendelee .

Hivyo amewataka wakuu wa shule na vyuo kuhakikisha wanafunzi wanafanya mazoezi,maombi ili kuwajenga vijana kuwa   imara na wanaojitambua ,kwani vita ya kukabiliana na ugonjwa huo ni kubwa ambapo Mhe. Rais alisimamia uzalendo na ukweli wenye dhamira ya dhati kwa uhai wa mtanzania na mstakabali wa maisha ya kila mmoja.

Mhe Mongella ameeongeza kuwa ofisi ya mkoa imeamua kukabidhi vifaa vya kujikinga na kudhibiti maambukizo ya ugonjwa huo ambavyo ni sanitizer,barakoa na seti za kunawia mikono ambayo ni matenki ya lita 200,mabeseni na ndoo  kwa shule na vyuo vilivyopo mkoani humo.

Naye Afisa Elimu Mkoa wa Mwanza Martin Nkwabi  anasema mkoa huo una jumla ya shule 37 za "Alevel" ambapo shule 18 ni serikali huku 19 ni za binafsi ambazo kwa ujumla zina wanafunzi 4,844 wa kidato cha sita,kwa upande wa wanafunzi wa ualimu kwenye vyuo vya Butimba na Murutunguru  wana jumla ya wanafunzi 1,036.

Nicholaus Magige mkuu wa chuo cha ualimu butimba na Castory Mazula mkuu wa shule ya Sekondari Messa wanasema baada ya kupata maelekezo wamejipanga katika hatua za awali bila kuathiri matatizo ya kiafya ambapo wameondoa msongamano kwa kuwatawanya wanafunzi kukaa mbalimbali ata kwa wale wanaoishi bweni .

Pia upimwaji wa mara kwa mara utafanya kwa kila wanafunzi na watumishi hivyo jitihada za pamoja zinahitajika kutoka kwa walimu na wazazi ili kuweza kukabiliana na janga hilo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.