• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

Ofisi ya Mganga Mkuu Mkoa wa Mwanza yatoa Elimu ya Kipindupindu kwa Wanahabari

Posted on: January 16th, 2024

Ofisi ya Mganga Mkuu Mkoa wa Mwanza yatoa Elimu ya Kipindupindu kwa Wanahabari


Ofisi ya Mganga Mkuu Mkoa wa Mwanza kwa kushirikiana na Wizara ya Afya zimeendelea na Mkakati wa kudhibiti Mlipuko wa ugongwa wa Kipindupindu ambapo leo wametoa elimu kwa vyombo vya habari.

Akizungumzia utoaji huo wa elimu uliofanyika kwenye ukumbi wa Ofisi ya mganga Mkuu wa Mkoa, mtaalamu wa elimu ya afya kwa umma kutoka Wizara ya afya Dkt. Emmanuel Mnkeni amesema jamii inahitaji kupata uelewa wa kutosha namna ya kuuepuka ugonjwa huo,dalili za mgonjwa na njia za kuudhibiti.

"Leo tupo hapa na vyombo vya habari kwa lengo la kuwajengea uwezo tukitambua umuhimu wa kalamu yao kwa jamii,kila mmoja akiwajibika kuweka mazingira katika hali ya usafi hasa vyoo mlipuko wa ugonjwa huu utatoweka," Dkt.Mnkeni

Amesema Kipindupindu kinatibika endapo mgonjwa atafikishwa mapema kwenye vituo vya afya mara baada ya dalili zote kubainika ambapo dalili kuu ni kuhara maji maji yanayofanana na yale ya kuoshea mchele.

"Ndugu zangu wana habari tujikite vyema katika kuelimisha jamii  wakati mwingine wanaingiwa na taharuki bila sababu kama watakosa msingi mzuri wa elimu kuhusiana na ugonjwa huo," Leonard Charles,mratibu elimu kwa umma Ofisi ya RMO

"Tunashukuru kwa kupatiwa elimu hii,ushauri wetu kwa Serikali mamlaka zote husika ziwajibike ipasavyo kwani bado maeneo mengi miundombinu ya maji taka ni mibovu,"Wellington Masele,ITV

Grace Mbise kutoka Star Tv amebainisha bado baadhi ya makabila yanaendeleza mila zisizo na mashiko kwa kutochangia choo wenyewe kwa wenyewe kwa imani za kuepuka mikosi ndani ya familia na badala yake wanakwenda kujisaidia vichakani

"Tunapotumia maji ya visima tunatakiwa kuweka vidonge viwili vya  Water Guard tofauti na maji ya bombani ambayo yanakuwa yamefanyiwa utaratibu wa kitaalamu kutoka kwenye vyanzo na unalazimika kuweka kidonge kimoja lakini tuzingatie kuchemsha maji hadi yatokote,"amefafanua Yusuph Seif Afisa afya kutoka Wizara ya afya.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.