• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti Mkoa
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • ununuzi na Ugavi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Sheria
  • Wilaya
    • Ilemela
    • Nyamagana
    • Magu
    • Misungwi
    • Kwimba
    • Sengerema
    • Ukerewe
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Jiji la Mwanza
    • Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
    • Hamashauri ya Wilaya ya Magu
    • Hamashauri ya Wilaya ya Sengerema
    • Hamashauri ya Wilaya ya Misungwi
    • Hamashauri ya Wilaya ya Kwimba
    • Hamashauri ya Wilaya ya Ukerewe
    • Hamashauri ya Wilaya ya Buchosa
  • Fursa za uwekezaji
    • Miundombinu ya Umwagiliaji na kilimo cha mkataba
    • Kilimo
    • Madini
    • Sekta ya Huduma
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya video

ONGEZENI BIDII KATIKA UTAFITI WAKULIMA WAPATE MBEGU BORA: RAS BALANDYA

Posted on: February 19th, 2024

ONGEZENI BIDII KATIKA UTAFITI WAKULIMA WAPATE MBEGU BORA: RAS BALANDYA


*Awataka TARI kutoa mbegu kwa wingi na kwa wakati kwa wakulima*


*Apongeza kwa Utafiti utakaoongeza tija na mnyororo wa thamani kwa mazao ya Maharage,Mtama na Karanga*


Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Balandya Elikana ameitaka Taasisi wa Utafiti wa Kilimo TARI kuongeza bidii katika jukumu lao ili kuwepo na tija kwa wakulima kupata mbegu bora wakati wote wa kilimo.

Akifungua leo mkutano wa Wadau wa mazao ya Maharage, Mtama na Karanga kwenye Hotel ya Gold Crest, Balandya amesema bado mkulima anakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa mbegu bora na kumrudisha nyuma katika malengo yake.

Amesema mikoa ya Kanda ya Ziwa ni maeneo mazuri katika uzalishaji na ufanyaji wa biashara hasa mazao ya Maharage, Karanga na Mtama hivyo mkulima anatakiwa kujengewa mazingira bora kuanzia Pembejeo na mbegu bora.

"Nawapongeza TARI na washirika wenu kwa kufanya utafiti na leo kuleta mrejesho, hii ni nafasi nzuri kuanzia kwa wafanyabiashara na wakulima kwani ni matokeo yatakayoongeza tija ya uzalishaji na mnyororo wa thamani," Balandya.

Meneja wa TARI Kanda ya Ziwa Mpoki Shimwela amebainisha Utafiti huo ulianza Juni mwaka 2023 kwa lengo la kuhakikisha wanapata mbegu bora itakayoweza kustahili ukame hasa kutokana na mabadiliko ya tabia nchi.

"Ndugu mgeni rasmi kwa kutambua umuhimu wa mazao haya wataalamu wetu wamefanya utafiti kwa kuwazungukia baadhi ya wafanyabiashara na tulichofanya ni kuboresha zaidi mbegu husika ili iwe na tija kwa mkulima",Mpoki.

Mkutano huo unawakutanisha Maafisa kilimo kutoka mikoa ya Kagera, Kigoma, Shinyanga, Tabora na Mwanza, Wafanyabiashara wa nataka na Taasisi za utafiti wa kilimo.

Matangazo

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali. January 08, 2025
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025 January 08, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

    May 03, 2025
  • DARAJA LA KIGONGO-BUSISI KUANZA KUTUMIKA MUDA WOWOTE KUANZIA SASA.

    May 02, 2025
  • SERIKALI YAANIKA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA UTUMISHI YALIYOPATIKANA MWANZA

    May 01, 2025
  • MAKUNDI MAWILI YA MWISHO YALIYOFANYA ZIARA HIFADHI NA JNHPP YAWASILISHA NENO LA SHUKRANI KWA RAS BALANDYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video zinazotembea

Siku 365 za Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Mwanza
video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu ya Ugonjwa
  • FFARS User Guidelines
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Opras fomu
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive

    S.L.P: 119, Mwanza.

    Simu: 028-2501037

    Simu ya Mkononi: 028-2501037

    Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.